jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Duu... makonyena tena yamepotea pia, kweli jamaa wapigaji
Hahahaaaa makonyena
Duu... makonyena tena yamepotea pia, kweli jamaa wapigaji
Hatuhitaji kuyajua mazuri, ya nini? Shida yetu madudu.Watanzania na Ushabiki, ina maana lazima kila sehemu atakwenda kiongozi lazima aibue madudu, hakuna mzuri atakayoyakuta.
Wachangiaji, tuchangie kwa uhalisia sio uhisia wa vyama. Anakwenda TPA kujionea yanayotendeka au ameenda kufukuza watu?? Je, anawafukuza kwa hayo tu aloyakuta au na hata ya nyuma eg 5 yrs back?
TPA ni ng'ombe wa maziwa kwa wakubwa. Mbona haendi Taa ya Nesco. Taabu hii ya kukatiwa maumeme bila sababuwala taarifa, majumba yameungua na mavyombo yamekufa ndani hayo hamuyaoni mnabaki kushabikia upele kukunwa??
Nasema, huo ni wajibu wake sio sifa
tpa ndio wapi?
Asiishie kutoa maagizo tu afika polisi akafungue kesi kabisa na Mahakamani aende kutoa ushahidi.
Nilimfahamu Massawe akiwa bandari ya Mwanza, ni mchapakazi sana ma mwadilifu, sidhani kama kabadilika, anatakiwa apunguze tu upole.
Labda usaidie mkuu.. . .Wewe ukipewa jukumu la kukagua Tanesco leo unaweza kuja na jema gani??!!
Uko Sawa Mkuu,sababu Hata Leo Hii Bwn Pombe Akifanya Ziara Ya Kushitukiza Wizara Ya Ujenzi Alikokuwa Kama Bosi Atakuta Madudu Ya Kumshangaza Yaliyorundikana Miaka Nenda Rudi.Kidumu Chama Cha Mapinduzi!!.