Waziri Mkenda Tueleze matokeo ya Tume ya uchunguzi wa shule inayofundisha ushoga

Zygot

JF-Expert Member
Apr 14, 2016
2,251
2,875
Ni jambo ambalo Waziri alilitolea maelezo marefu mbele ya vyombo vya habari. Naona ni kimya lna mambo ya ushoga yanatajwa sana! Waziri tueleze nini matokeo ya tume yako. Tueleze hatua ulizochukua kama waziri. Muhimu kabisa, taja shule hiyo ni ipi ili ijulikane kitaifa.

Viongozi wa kitaifa TZ wamekuwa na tabia ya kunyamazia ushoga. Rais hasemi anaishia kusema maadili. Waziri mkuu na Mawaziri hawasemi wanaishia neno maadili. Tunataka kusikia munasema nini juu ya ushoga.

Ushoga.jpg
 
Nilichokuja kumgundua Ni kwamba hutawasikia wazungu kwenye media zao wakipromote au kuforce African countries kuadopt hiyo kitu inaitwa ushoga isipokua indirectly!

Kinachofanyika Sasa hivi sisi watanzania na waafrica kwa ujumla tumekua vinara wa kuzungumza au kupromote ushoga kwenye social media bila kujua sisi ndio tunausambaza
 
Back
Top Bottom