Kibunago
JF-Expert Member
- Jan 11, 2008
- 300
- 122
Leo nimeshangaa sana Waziri Mh. Membe kusema kuwa kwa kuwa Egypt imesaidia Tanzania, sisi hatupaswi kusema chochote juu ya utawala usiokubalika kidikteta ulioondolewa na wananchi wa Misri.
Mh. napenda kukujulisha kuwa usichanganye msaada unaotolewa na nchi ukadhani kuwa ni wa Rais aliyeko madarakani, ni wa wananchi wenye nchi!!
Nchi kama USA na wengineo walipotamka dhidi ya Rais wa Misri na leo Libya haina maana kuwa walikuwa hawazipendi nchi hizo wala Wananchi wa nchi hizo bali yule Rais mhusika aliyepo ambaye hakubaliki.
Ulielewe hili sasa hivi ndg yangu vinginevyo unamiss point ya nguvu sana. Elewa kukaka kimya pia kuna maana kuwa uongozi ujao huko kwenye mabadiliko kwa njia ya demokrasia na wananchi wake pia watakaa kimya juu ya uongozi wako as you try to sit on the fence! Si lazima utoe kauli chafu au kutukana lakini ni vyema uonyeshe msimamo kwa kushauri.
Kumbuka, kauli, "Anioneaye aibu hapa duniani nami nitamuonea huko mbinguni kwa Baba!"
Nimekusifu kwa jinsi unavyojua hisroria ya nchi mbalimbali lakini narudia tena kuna point unaimiss sana juu ya ni nani mwenye nchi na anayetoa misaada na kusomesha watu wetu huko nje kati ya Marais walioko madarakani na wananchi wa nchi hizo!
Mh. napenda kukujulisha kuwa usichanganye msaada unaotolewa na nchi ukadhani kuwa ni wa Rais aliyeko madarakani, ni wa wananchi wenye nchi!!
Nchi kama USA na wengineo walipotamka dhidi ya Rais wa Misri na leo Libya haina maana kuwa walikuwa hawazipendi nchi hizo wala Wananchi wa nchi hizo bali yule Rais mhusika aliyepo ambaye hakubaliki.
Ulielewe hili sasa hivi ndg yangu vinginevyo unamiss point ya nguvu sana. Elewa kukaka kimya pia kuna maana kuwa uongozi ujao huko kwenye mabadiliko kwa njia ya demokrasia na wananchi wake pia watakaa kimya juu ya uongozi wako as you try to sit on the fence! Si lazima utoe kauli chafu au kutukana lakini ni vyema uonyeshe msimamo kwa kushauri.
Kumbuka, kauli, "Anioneaye aibu hapa duniani nami nitamuonea huko mbinguni kwa Baba!"
Nimekusifu kwa jinsi unavyojua hisroria ya nchi mbalimbali lakini narudia tena kuna point unaimiss sana juu ya ni nani mwenye nchi na anayetoa misaada na kusomesha watu wetu huko nje kati ya Marais walioko madarakani na wananchi wa nchi hizo!