Waziri Mbarawa ataja sababu za kubinafsisha bandari zetu kwa wageni

Ulitaka afanye miradi mingapi mikubwa kwa wakati mmoja.

Hiyo aliyoikuta Bi Tozo kumalizia tu yeye mwenye anakiri sio shughuli ndogo.

Usisahau enzi za mwamba pamoja ni hiyo miradi mikubwa ni yeye ndie alieanza kuzipa uhai bandari za Tanga na Mtwara; nyie leo mkiona meli kubwa zinatia nanga huko mnakimbilia Twitter kuandika mama anaupiga mwingi.

Bado meli kubwa za maziwa alizo commission zijengwe. Ndugu shughuli ya Magufuli aikuwa ndogo. Waswahili wana msemo sawa “kusoma hujui, picha nayo uoni” kutokuona alama za Magufuli ni kujipofusha tu. Shida zaidi ni pale hizo denial zinapowafanya mpaka ile miradi yake aliyoicha leo mumpe mama yenu, mpaka yeye mwenyewe anaona aibu na kuwashangaa.
Alama gani zaidi ya kuua wasio na hatia na kutuibia fedha zetu? Misukule nyinyi tu ndiyo mnaona muziki mrefu lakini hakuna cha ajabu
 
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Katika Shughuli za Uendelezaji na Uendeshaji wa Bandari

229. Mheshimiwa Spika, Ushirikishaji wa Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari zilianza kuchukuliwa na Serikali mwishoni mwa miaka ya 1990 kupitia Tume ya Kurekebisha Mashirika yaUmma (Parastatal Sector Reform Commission-PSRC).

Mwaka 2000, Serikali iliamua kuingia Mkataba na Kampuni binafsi ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) kwa ajili ya uendeshaji waKitengo cha Makontena Gati Na. 8 – 11 katika Bandari ya Dar es Salaam. Katika kipindi chote cha utendaji kazi wa TICTS, Serikali kupitia TPA imepata mafanikio yafuatayo katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2021.

i. Uwekezaji katika manunuzi ya mitambo ya kuhudumia shehena, miundombinu, mifumo ya TEHAMA na kuwajengea uwezo wafanyakazi;

ii. Kuongezeka kwa shehena ya makasha kutoka makasha ya futi ishirini 382,000 mwaka 2012 hadi kufikia makasha 642,000 mwaka 2021 sawana ongezeko la wastani wa asilimia 8.0 kwamwaka; na94

iii. Kampuni hiyo iliweza kulipa kodi na tozo nyinginezo za Bandari kutoka kiasi cha Shilingi bilioni 235 mwaka 2012 hadi kufikia Shilingi bilioni 635 mwaka 2021.230.

Mheshimiwa Spika, Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo kumekuwa na changamoto kadhaa zikiwemo:

i. Kushindwa kuchagiza shughuli za kibandarikatika mnyororo wa usafirishaji;

ii. Uwekezaji mdogo katika mitambo ya kupakia nakupakua mizigo;

ii. Urasimu wa uondoshaji wa mizigo bandarini;kutokuwa na maeneo ya kutosha nje ya bandariili kupunguza msongamano bandarini;

iv. Kutofanya ukarabati wa miuondombinu yabandari, kutofanya ukarabati wa mitambo kwawakati; na

v. Kutokuwa na mikakati ya kuvutia shehena kupitia Bandari ya Dar es Salaam; kutowekeza katika mifumo ya TEHAMA ya kisasa inayosoma na na mifumo iliyopo TPA.

Kwa kutambua kuwa, TPA pekee haitaweza kutatua changamoto za Bandari zilizopo na kuongeza ufanisi wa bandari nchini, Serikali iliamua kuanzisha jitihada zakutafuta wawekezaji ambao watakuwa na uwezo wakutatua changamoto zilizobainishwa hapo juu.

231. Mheshimiwa Spika, hatua hizo zimehusisha kukutana na kufanya majadiliano na wawekezaji mbalimbali. Baadhi ya wawekezaji waliojitokeza wameonesha nia ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya bandari nchini ikiwemo; Bandari ya Dar es Salaam, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara, Maeneo ya Bandari Kavu na Bandari za Maziwa Makuu ili kulenga soko la nchi zinazotuzunguka, ambalo linakua kwa kasi.

Kama ilivyo kawaida, Bunge lako Tukufu litashirikishwa ipasavyo wakati wa kuridhia Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yaDubai (Inter Governmental Agreement – IGA) kwa ajili ya ushirikiano wa kuboresha, kuendesha na kuendeleza maeneo ya bandari nchini.
Alaaniwe aliyetoa wazo hilo ambalo linaweza kuvuruga usalama wa nchi na watu wote waseme; AMINA.
 


Huyo hapo akielezea bandari ya Bagamoyo lazima ijengwe; iwe na mwekezaji au serikali.

Leta wewe ushahidi wako akikataa hiyo bandari isijengwe.

Hivi nyie watu wenye chuki na Magufuli utadhani mlijificha kwenye maandaki kipindi chake na kutoelewa nini kilikuwa kinaendelea.

Shida yao aikuwa bandari isijengwe, ila kama ni FDI basi iwe yenye tija. Na walitumia muda mwingi sana kuelezea condition za ovyo. Na walisema wazi negotiations zikishindikana serikali itabidi ijenge yenyewe kwa sababu hiyo bandari aikwepeki.

Sasa nyie sijui hizo habari zenu mmezitoa wapi au ndio kumeza porojo za kigogo bila ya kusikiliza serikali.

Hapa nipo pamoja nawe.

Muhimu zaidi ambalo ni lazima lisisitiziwe, "kelele nyingi" toka sehemu mbalimbali, ikiwemo humu JF, ndizo zilizotuokoa na mradi huo mchafu ulivyokuwa mwanzo na kukataliwa na Magufuli.

Samia kajaribu kuuangalia upya kama angeweza kuupitisha, lakini zile "kelele nyingi" zikamjaa akilini, akaona hana njia ya kuupitisha mradi huo na kuzima hizo kelele. Akautema.

Kwa hiyo. KELELE zilisaidia sana hapa.
 
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Katika Shughuli za Uendelezaji na Uendeshaji wa Bandari
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Katika Shughuli za Uendelezaji na Uendeshaji wa Bandari

229. Mheshimiwa Spika, Ushirikishaji wa Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari zilianza kuchukuliwa na Serikali mwishoni mwa miaka ya 1990 kupitia Tume ya Kurekebisha Mashirika yaUmma (Parastatal Sector Reform Commission-PSRC).

Mwaka 2000, Serikali iliamua kuingia Mkataba na Kampuni binafsi ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) kwa ajili ya uendeshaji waKitengo cha Makontena Gati Na. 8 – 11 katika Bandari ya Dar es Salaam. Katika kipindi chote cha utendaji kazi wa TICTS, Serikali kupitia TPA imepata mafanikio yafuatayo katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2021.

i. Uwekezaji katika manunuzi ya mitambo ya kuhudumia shehena, miundombinu, mifumo ya TEHAMA na kuwajengea uwezo wafanyakazi;

ii. Kuongezeka kwa shehena ya makasha kutoka makasha ya futi ishirini 382,000 mwaka 2012 hadi kufikia makasha 642,000 mwaka 2021 sawana ongezeko la wastani wa asilimia 8.0 kwamwaka; na94

iii. Kampuni hiyo iliweza kulipa kodi na tozo nyinginezo za Bandari kutoka kiasi cha Shilingi bilioni 235 mwaka 2012 hadi kufikia Shilingi bilioni 635 mwaka 2021.230.

Mheshimiwa Spika, Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo kumekuwa na changamoto kadhaa zikiwemo:

i. Kushindwa kuchagiza shughuli za kibandarikatika mnyororo wa usafirishaji;

ii. Uwekezaji mdogo katika mitambo ya kupakia nakupakua mizigo;

ii. Urasimu wa uondoshaji wa mizigo bandarini;kutokuwa na maeneo ya kutosha nje ya bandariili kupunguza msongamano bandarini;

iv. Kutofanya ukarabati wa miuondombinu yabandari, kutofanya ukarabati wa mitambo kwawakati; na

v. Kutokuwa na mikakati ya kuvutia shehena kupitia Bandari ya Dar es Salaam; kutowekeza katika mifumo ya TEHAMA ya kisasa inayosoma na na mifumo iliyopo TPA.

Kwa kutambua kuwa, TPA pekee haitaweza kutatua changamoto za Bandari zilizopo na kuongeza ufanisi wa bandari nchini, Serikali iliamua kuanzisha jitihada zakutafuta wawekezaji ambao watakuwa na uwezo wakutatua changamoto zilizobainishwa hapo juu.

231. Mheshimiwa Spika, hatua hizo zimehusisha kukutana na kufanya majadiliano na wawekezaji mbalimbali. Baadhi ya wawekezaji waliojitokeza wameonesha nia ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya bandari nchini ikiwemo; Bandari ya Dar es Salaam, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara, Maeneo ya Bandari Kavu na Bandari za Maziwa Makuu ili kulenga soko la nchi zinazotuzunguka, ambalo linakua kwa kasi.

Kama ilivyo kawaida, Bunge lako Tukufu litashirikishwa ipasavyo wakati wa kuridhia Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yaDubai (Inter Governmental Agreement – IGA) kwa ajili ya ushirikiano wa kuboresha, kuendesha na kuendeleza maeneo ya bandari nchini.
Kubinafsidha n sawa na kubinafdisha jeshi
Ufanisi wa kazi unaweza kufanywa na serikali na uwekezaji huu unawezekana

229. Mheshimiwa Spika, Ushirikishaji wa Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari zilianza kuchukuliwa na Serikali mwishoni mwa miaka ya 1990 kupitia Tume ya Kurekebisha Mashirika yaUmma (Parastatal Sector Reform Commission-PSRC).

Mwaka 2000, Serikali iliamua kuingia Mkataba na Kampuni binafsi ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) kwa ajili ya uendeshaji waKitengo cha Makontena Gati Na. 8 – 11 katika Bandari ya Dar es Salaam. Katika kipindi chote cha utendaji kazi wa TICTS, Serikali kupitia TPA imepata mafanikio yafuatayo katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2021.

i. Uwekezaji katika manunuzi ya mitambo ya kuhudumia shehena, miundombinu, mifumo ya TEHAMA na kuwajengea uwezo wafanyakazi;

ii. Kuongezeka kwa shehena ya makasha kutoka makasha ya futi ishirini 382,000 mwaka 2012 hadi kufikia makasha 642,000 mwaka 2021 sawana ongezeko la wastani wa asilimia 8.0 kwamwaka; na94

iii. Kampuni hiyo iliweza kulipa kodi na tozo nyinginezo za Bandari kutoka kiasi cha Shilingi bilioni 235 mwaka 2012 hadi kufikia Shilingi bilioni 635 mwaka 2021.230.

Mheshimiwa Spika, Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo kumekuwa na changamoto kadhaa zikiwemo:

i. Kushindwa kuchagiza shughuli za kibandarikatika mnyororo wa usafirishaji;

ii. Uwekezaji mdogo katika mitambo ya kupakia nakupakua mizigo;

ii. Urasimu wa uondoshaji wa mizigo bandarini;kutokuwa na maeneo ya kutosha nje ya bandariili kupunguza msongamano bandarini;

iv. Kutofanya ukarabati wa miuondombinu yabandari, kutofanya ukarabati wa mitambo kwawakati; na

v. Kutokuwa na mikakati ya kuvutia shehena kupitia Bandari ya Dar es Salaam; kutowekeza katika mifumo ya TEHAMA ya kisasa inayosoma na na mifumo iliyopo TPA.

Kwa kutambua kuwa, TPA pekee haitaweza kutatua changamoto za Bandari zilizopo na kuongeza ufanisi wa bandari nchini, Serikali iliamua kuanzisha jitihada zakutafuta wawekezaji ambao watakuwa na uwezo wakutatua changamoto zilizobainishwa hapo juu.

231. Mheshimiwa Spika, hatua hizo zimehusisha kukutana na kufanya majadiliano na wawekezaji mbalimbali. Baadhi ya wawekezaji waliojitokeza wameonesha nia ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya bandari nchini ikiwemo; Bandari ya Dar es Salaam, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara, Maeneo ya Bandari Kavu na Bandari za Maziwa Makuu ili kulenga soko la nchi zinazotuzunguka, ambalo linakua kwa kasi.

Kama ilivyo kawaida, Bunge lako Tukufu litashirikishwa ipasavyo wakati wa kuridhia Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yaDubai (Inter Governmental Agreement – IGA) kwa ajili ya ushirikiano wa kuboresha, kuendesha na kuendeleza maeneo ya bandari nchini.
 
Back
Top Bottom