sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,419
Nadhani hapa point sio wizi wa Maige (sababu from that evidence, haijaonekana kama ameiba, ame-acquire legally)
Hapa issue labda tuanze kuongelea Mawaziri kujihusisha na biashara.., au Labda kodi zetu zinawalipa pesa nyingi (more than they need).., In short we need more transparency (lakini kwa hili zaidi ya kuchochea moto ambao unamwakia Maige, sioni kama kuna enough evidence za kumshutumu chochote)
Hapa issue labda tuanze kuongelea Mawaziri kujihusisha na biashara.., au Labda kodi zetu zinawalipa pesa nyingi (more than they need).., In short we need more transparency (lakini kwa hili zaidi ya kuchochea moto ambao unamwakia Maige, sioni kama kuna enough evidence za kumshutumu chochote)