Kuingiza hela ni tofauti na kubakiza hela. Kodi muhimu zote kwenye transportation hulipiwa kabla hujapata kibali cha kuendesha biashara hiyo, hususan ukiwa na malori.
Kodi ya mapato hulipiwa mapato yaliyobaki baada ya gharama zote. Katika biashara ya malori ni aghalabu sana kupata gross profit inayofikia 20%.
Namna ya ulipaji kodi wa mfanya biashara ya malori ni tofauti kabisa na biashara zingine, kwa hiyo kabla hamjaanza kukisia ni vipi Maige alipe kodi ni lazima muelewe namna ya biashara na kodi zake zinavyokokotolewa.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
wewe acha ushamba.ndugu yako nn?