bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,406
- 6,884
Unaota au? Kwa mwezi hiyo revenue ni ndogo sana. Magar ya mizigo yanalipa sana.
Siyo kweli. Nilimsikia yule Zakaria Hans Poppe akielezea kwenye ITV kwamba the maximum they can make ni around 4000 USD per trip. Sasa angalia costs za services za gari na ni trip ngapi anaweza kufanya per month. Kila trip inachukuwa not less than two weeks if I am not mistaken.