Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 2,876
- 8,697
Huyo dada ni mjasiriamali mkubwa sana mjini. Anauza uchumi wake aliompa Muumbaji. Malaya yani, na hapo ndio Boss kafika
Marekebisho sio mjasiriamali bali ni MJASIRIAMWILI
Hawa ndio utawasikia vingereza vingi sana mara wanajiita beauty with brains mara wanajiita hardworking. Mara wajifanye motivation speakers yaani wanawaathiri sana watoto wa kike.