kawambwa si mwana siasa, hawezi hata kujieleza! Nimesikia "ebujeebujee" zake.Hii wizara sio saizi yake.
kawambwa si mwana siasa, hawezi hata kujieleza! Nimesikia "ebujeebujee" zake.Hii wizara sio saizi yake.
Kwa kweli jamaa nilimuona jana kwenye press conference, naona kama ana tatizo la kuongea kwenye public..alishindwa kuongea kabisa.. yaani kama kuna kitu kinamzuia kuongea sawa sawa.
Haa...haahaaaaaa....Mzee wa njaa umenichekesha kwei..kwei mghosi...