"Waziri kaniambukiza miwaya!!!"...Mwananafunzi wa chuo kikuu ajuta!

Dahh...its sad.......... I will share hii taarifa kwa familia yangu..........
 
Watu ambao ni HIV positive, wanatakiwa kujipenda, kujijali, kujiamini, kuwajali wanaowazunguka, kupendwa na kujaliwa na jamii, watu wenye HIV wanaishi miaka mingi sana siku hizi, pia ni vizuri wajiunge na wenzao wengine ili kuzungumzia mambo yao na kupata marafiki wa namna yao na ni vizuri zaidi pia wawe na marafiki madaktari, madaktari wao watakao kuwa wanawasaidia kuwashauri na kuwatibu magonjwa mbalimbali wanayokumbana nao, wanaweza kukutana na wenzao hospitalini, kwenye vyama mbalimbali vya ishu za Aids or Afya, kwenye websites mbalimbali, kuna websites za watu ambao ni HIV positive, wanakutana na kujadili mambo yao, kuna watu toka sehemu mbalimbali Duniani, ulizia kwenye google, na kuwa positive haimaanishi utakuwa unaumwa kila siku, jiepushe na sababu za kuepukika zinazoweza kukuletea magonjwa, mfano, sigara, mtu anaweza kupata HIV akakaa miaka mitano au kumi bila kuugua seriously kabisa, HIV positive asipende kufanya mazoezi makali mno, ona Magic Johnson aliacha kucheza Basketball, apumzike vya kutosha, apunguze stress, ale chakula cha kutosha, ale matunda, ale mbogamboga, anywe maji ya kutosha, asitumia vipodozi vikali, vya kujichubua kwenye ngozi yake, asiharibu ngozi yake, atumie vipodozi vya kawaida, apunguze sana sana ngono, pombe kali n.k
 
Nasikia Ulaya kuna sindano, mfano mtu akibakwa, ndani ya masaa 24 anatakiwa achomwe ili asipate Ukimwi, hiyo sindano inafanya kazi serious, ila nasikia ni ya gharama, so lama aloyekubaka alikuwa positive ukiwahi ndani ya hayo masaa 24, uhakika wa wewe kutokuwa positive upo, pengine hata wakido na watu wasiowaelewa elewa labda wao wanajidunga hizo sindano, mfano sikatai kwamba wazungu kuna positive but kuna wengine ni negative na wanajirusha na makahaba kinoma, je ni condom pekee wanayoitegemea kama sisi au ni hizo sindano zao pia, tusiige tembo kunya mavi makumbwa!
Ukiwa mwongo basi uwe na kumbukumbu nzuri. Hapo kwenye red!
 
Nasikia Ulaya kuna sindano, mfano mtu akibakwa, ndani ya masaa 24 anatakiwa achomwe ili asipate Ukimwi, hiyo sindano inafanya kazi serious, ila nasikia ni ya gharama, so kama aliyekubaka alikuwa positive ukiwahi ndani ya hayo masaa 24, uhakika wa wewe kutokuwa positive upo, pengine hata wakido na watu wasiowaelewa elewa labda wao wanajidunga hizo sindano, mfano sikatai kwamba wazungu kuna positive but kuna wengine ni negative na wanajirusha na makahaba kinoma, je ni condom pekee wanayoitegemea kama sisi au ni hizo sindano zao pia, tusiige tembo kunya mavi makumbwa!
Ukiwa mwongo basi uwe na kumbukumbu nzuri. Hapo kwenye red!
 
ARV's zinazoletwa Bongo nasikia si o nzuri, kuna kipindi wagonjwa walizilalamikia sana, waongeze fedha ili waangize dawa nzuri zaidi, wapo wanaotumia dawakutoka nje ya nchi si hizi za kupanga foleni, wagonjwa na madaktari wajadiliane, wawe wazi ni nini kifanyike, na ni dawa gani nzuri zaidi, wasiwatese watu kwa dawa zisizokuwa na ubora wa kutosha, kama vipi wagonjwa wenye uwezo, mashirika wagharamie kiasi fulani cha fedha na kingine wasaidiwe na serikali ili waagize dawa kama wanazotumia wenzetu Ulaya tufanye mpango wa kupata dawa bora zaidi
 
ARV's zinazoletwa Bongo nasikia sio nzuri, kuna kipindi wagonjwa walizilalamikia sana, waongeze fedha ili waangize dawa nzuri zaidi, wapo wanaotumia dawakutoka nje ya nchi si hizi za kupanga foleni, wagonjwa na madaktari wajadiliane, wawe wazi ni nini kifanyike, na ni dawa gani nzuri zaidi, wasiwatese watu kwa dawa zisizokuwa na ubora wa kutosha, kama vipi wagonjwa wenye uwezo, mashirika wagharamie kiasi fulani cha fedha na kingine wasaidiwe na serikali ili waagize dawa kama wanazotumia wenzetu Ulaya tufanye mpango wa kupata dawa bora zaidi
 
Nairoberry, I mean ni sindano ya gharama kubwa kiasi

wacha nikueleze dadangu hivyo unavyosema shindano si ulaya pekee hata hapa tz ken na nchi zingine inapatikana. Lakini hazipewi ovyo ovyo lazima uwe umebakwa au unayo sababu kuu isiyotokana na tabia duni ili kudungwa iyo shindano katika hospitali za umma bure . kama we mwenyewe hukutumia kinga itabidi uinunue kwa gharama kubwa sana na niwachache wawezao. Kwa ivyo dada hapa mjini tanga watu wanaweka imani yao kwa viroba vilivyo gangwa
 
Point yako nzuri sana, at the same time sijui kama umeshafika Dodoma wakati wa vikao vya bunge. Ugeni unaojazana hapo licha ya wabunge na entourage zao, huwa kuna ugeni wa kina dada wa kila aina na kila umbo na kila fani kutokea sehemu mbali mbali za Tanzania na Afrika mashariki. Ni vyema hawa kina dada wanaozuru Dodoma wakati wa vikao vya bunge wakajuwa wateja wao wakoje, Ni namna moja ya kuwajibika Kitaifa, wapime na majibu yawekwe wazi.

Kuna dada mmoja mzuri wa kusifika mtaani kwetu, amepewa jina "Mheshimiwa" maana ikifika wakati wa vikao vya bunge ni lazima awe Dodoma.
Huyo dada kiboko! Mwache ajilie laying allowance bwana
Kuhusu uwajibikaji wao nadhani itakua ni namna ya ku-encourage wale wabunge HIV negativve kuendelea na hizo starehe zao. Kuna mengi zaidi ya HIV ambayo yanatakiwa kukomeshwa katika tabia hiyo, je hayo yote yawekwe hadharani? ukifatilia hiyo reasoning maana yake hata bank account yao waweke na tu-compare na hali yao ya maisha. Ikiwa they use household money to pay the laying allowances wawajibike?
What they do with girls ni private life. all we can do is to remind both sides that when it comes to HIV using a condom is a must, being loyal is good and abstinence even better and safer.
 
Huyo dada kiboko! Mwache ajilie laying allowance bwana
Kuhusu uwajibikaji wao nadhani itakua ni namna ya ku-encourage wale wabunge HIV negativve kuendelea na hizo starehe zao. Kuna mengi zaidi ya HIV ambayo yanatakiwa kukomeshwa katika tabia hiyo, je hayo yote yawekwe hadharani? ukifatilia hiyo reasoning maana yake hata bank account yao waweke na tu-compare na hali yao ya maisha. Ikiwa they use household money to pay the laying allowances wawajibike?
What they do with girls ni private life. all we can do is to remind both sides that when it comes to HIV using a condom is a must, being loyal is good and abstinence even better and safer.
\

Kwa hili nakubaliana na wewe 100% lakini imagine mtu ambae tunaamini kuwa ni kiongozi wa upinzani na anaefikiriwa na wachache wa upinzani kuwa anaweza kuwa Rais, na amabe anadhaniwa atakuwa mfano wa kuigwa anatuhuma nzito nzito za kuzaa nje ya ndoa, kuishi na mwanamke ambae ni mke wa mtu na kuzaa nae. Sasa nani wa kuwaokoa Watanzania ikiwa hao tunaowatazamia wawe wapinzani (watchdogs) wa Serikali wao wenyewe hawana maadili hata chembe.
 
Sasa si ziwekwe kwenye mahospitali mbalimbali, ili wapunguze maambukizi ya ukimwi kwa kiasi kikubwa, kama mtu alifanyauzembe huko kwenye ngono, sio kubakwa hasa, ila labda wabongo watafanya kama mchezo, but itasaidia kiasi, ila wabongo sie sometimes ngono kwetu kama kinywaji au chakula, sijui wafanyiwe gharama kubwa sana au ndio watajikakamua kama kwenye vilevi, wabongo sometimes ni vichwa ngumu sana kwenye mambo mengine ya kipuuzi, mapenzi sio kila sekunde jamani, watu wengine wanakuwa kama dogs, hivyo viroba vitawaaribu afya zao, vitawaunguza maini
wacha nikueleze dadangu hivyo unavyosema shindano si ulaya pekee hata hapa tz ken na nchi zingine inapatikana. Lakini hazipewi ovyo ovyo lazima uwe umebakwa au unayo sababu kuu isiyotokana na tabia duni ili kudungwa iyo shindano katika hospitali za umma bure . kama we mwenyewe hukutumia kinga itabidi uinunue kwa gharama kubwa sana na niwachache wawezao. Kwa ivyo dada hapa mjini tanga watu wanaweka imani yao kwa viroba vilivyo gangwa
 
Hapa wa kulaumiwa si waziri bali Shiro au Ciku mwenyewe kwa tamaa zake. Kwani hakujua kuwa huyo mheshimiwa alikuwa ameoa? Aliponunuliwa nyumba na gari kwa pesa ya mwananchi hakujua kuwa mshahara wa dhambi ni mauti. Heri ameupata ili awe somo kwa wengine. Kama mheshimiwa pichani ndiye kahusika nani anajua kuwa aliyemletea mwenzie ni mheshimiwa au Shiro. Maskini namuona rafiki yangu Amos Kimunya kama anaishia taratibu! Poleni sana waathirika.
 
Ok, ya kwake yanaonekana kirahisi, ya Prezidaa wenu mnayafahamu au mmeyachunia, mtu mmoja watoto lukuki, wa ndoa na wa nje ya ndoa, wanaofahamika na wasiofahamika, mengi wanajitahidi kumfichia ili aonekane safi, eti Slaa atapata watoto wengine uzeeni watakaomuita Babu, huyo shosti wenu Cyprian Musiba alisema, je Mr. Prezidaa hao watoto wake wadogo wengine hata darasa la tatu hawajalijua wamuiteje Baba-Babu yao pia, kaenda kwenye ishu za uzazi wa mpango Uingereza akiwa ameshachelewa, hana cha kuapply kwenye maisha yake binafsi!, awafundishe tu wanawe na watanzania wengine, yeye hana la kupanga tena, ni kuacha kuzaa tu na kujikakamua kulea hao alionao
\

Kwa hili nakubaliana na wewe 100% lakini imagine mtu ambae tunaamini kuwa ni kiongozi wa upinzani na anaefikiriwa na wachache wa upinzani kuwa anaweza kuwa Rais, na amabe anadhaniwa atakuwa mfano wa kuigwa anatuhuma nzito nzito za kuzaa nje ya ndoa, kuishi na mwanamke ambae ni mke wa mtu na kuzaa nae. Sasa nani wa kuwaokoa Watanzania ikiwa hao tunaowatazamia wawe wapinzani (watchdogs) wa Serikali wao wenyewe hawana maadili hata chembe.
 
NI wengi hata kwenye ODM wako kwenye msafara WA kuiaga dunia. Kwa mfano Anyang nyongo NA wenziwe kama mkereketwa wa chama cha URP Sirus Jirongo.
 
\

Kwa hili nakubaliana na wewe 100% lakini imagine mtu ambae tunaamini kuwa ni kiongozi wa upinzani na anaefikiriwa na wachache wa upinzani kuwa anaweza kuwa Rais, na amabe anadhaniwa atakuwa mfano wa kuigwa anatuhuma nzito nzito za kuzaa nje ya ndoa, kuishi na mwanamke ambae ni mke wa mtu na kuzaa nae. Sasa nani wa kuwaokoa Watanzania ikiwa hao tunaowatazamia wawe wapinzani (watchdogs) wa Serikali wao wenyewe hawana maadili hata chembe.


zombe na wewe acha kuogelea kwenye siasa za maji taka kila mahali. Siku ya tatu sasa unapiga domo kuhusu maisha binafsi ya kiongozi wa upinzani. Kama kweli maisha binafsi ya viongozi ni jambo linalokukera tungekusikia siku nyingi, na ungetaja majina mengi. Mbona mafuska wako kila mahali na hata kwenye post yako moja unalalamika kuhusu dada mliembatiza 'mheshimiwa? Unafiki ni jambo baya sana na si ajabu hata wewe mwenyewe ni kicheche wa viwango vya juu. Sick!
 
Amos Kimunya Doin interview with CITIZEN-Sunday Morning Live
attachment.php
 

Attachments

  • KIMUNYA.JPG
    KIMUNYA.JPG
    60.2 KB · Views: 865
Back
Top Bottom