SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Mkuu we unawajua magamba au una wasikia tu? Huko hakunaga msamiati wa ushujaa wala uzalendo, huko ni ufisadi kwa kwenda mbele, yaani fisadi hasa apande vitara, unacheza wewe.
kweli naunga mkono hoja watumie landrover 109 new model a.k.a mandolin coz zinamudu njia zote mijini vijijini mbugani na zina spidi kubwa kama v8 Mh Godbles Lema anayo yake pale Arusha anaweza kutujuza how much does t cost
Mkuu we unawajua magamba au una wasikia tu? Huko hakunaga msamiati wa ushujaa wala uzalendo, huko ni ufisadi kwa kwenda mbele, yaani fisadi hasa apande vitara, unacheza wewe.