Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Yes nimetumia neno "shujaa" sababu inaonekana ni uamuzi mgumu mno. Nadhani atayekuwa wa kwanza tutampa ushujaa japo
Mara nyingi tunayaona haya ma VX na hawa vigogo wakiwa ndani from masaki to posta. Hivi tujiulize/tuwaulize
Karibu wadau tujadili vyombo vya usafiri vya vinavyotumiwa na vigogo.
Mara nyingi tunayaona haya ma VX na hawa vigogo wakiwa ndani from masaki to posta. Hivi tujiulize/tuwaulize
- Hakuna Aliyewai kufikiria anaweza kuokoa shilingi ngapi za mafuta ya uendeshaji kwa mwaka kama angetumia vitara.au hata saloon.Au hakuna anayejali? AU VX ndio uafiri stanrdard iiyopitishwa na TBS/ikulu kuwa ndio usafiri pekee unaofaa kwa vigogo....
- Ufanisi/Tija(effeciency/Efectiveness) ya hawa vigogo utapungua wakitimua gari ndogo. Je hata waziri wa mazingira haoni aibu kutumia VX (gari zenye carbon footprint kubwa).Kwa wenzetu waziri wa mzingira kutumia VX ingekuwa kashfa kubwa zaidi.......
- kwa nini kasi ya barabara za lami zinazojengwa haiendani na kasi kupungua kwa VX za seriali na kuongezeka kwa saloon kama usafiri wa vigogo. Si wakienda mikoani kikazi wanapaaaa.......
Karibu wadau tujadili vyombo vya usafiri vya vinavyotumiwa na vigogo.