Bugucha
JF-Expert Member
- Jan 3, 2020
- 2,989
- 12,391
Bashe is right!Bashe atasababisha watoto wakatae kula chakula shuleni, yale yale ya anti-vaxxers tu kupinga watoto wao wasipewe chanjo.
Kauli ya Bashe ni mbaya sana, inapaswa kulaaniwa na watu wote wenye akili.