[h=3][/h] WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalumu, Mansour Yussuf Himid amesema CCM haijazuia wanachama wake wakiwamo wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, kutoa maoni yao kuhusu mchakato wa Katiba unaoendelea sasa.
Akizungumza katika mahojiano na Sauti ya Ujerumani (DW) katika ukumbi wa Baraza Chukwani jana, Mansour alisema kila mwanachama wakiwamo viongozi, wako huru kutoa maoni kuhusu Katiba na chama hakijazuia mtu kutumia haki hiyo.
Katiba ya CCM iko wazi haikatazi mwanachama wake kutoa maoni tofauti kuhusu mchakato wa Katiba ambao uko wazi pia, alisema Mansour.
lisema CCM mkoa wa Mjini Magharibi haina uwezo wa kikatiba kunyamazisha wanachama wake kutoa maoni ya Katiba katika zama hizi za uwazi na demokrasia.
CCM Mjini Magharibi hivi karibuni ilitoa onyo kali kwa baadhi ya viongozi wa chama hicho wakiwamo wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wanaotaka kuwapo muundo wa Muungano wa Mkataba ambao unakwenda kinyume na sera za chama hicho na kusema kitawanyanganya kadi zake.
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI
Akizungumza katika mahojiano na Sauti ya Ujerumani (DW) katika ukumbi wa Baraza Chukwani jana, Mansour alisema kila mwanachama wakiwamo viongozi, wako huru kutoa maoni kuhusu Katiba na chama hakijazuia mtu kutumia haki hiyo.
Katiba ya CCM iko wazi haikatazi mwanachama wake kutoa maoni tofauti kuhusu mchakato wa Katiba ambao uko wazi pia, alisema Mansour.
lisema CCM mkoa wa Mjini Magharibi haina uwezo wa kikatiba kunyamazisha wanachama wake kutoa maoni ya Katiba katika zama hizi za uwazi na demokrasia.
CCM Mjini Magharibi hivi karibuni ilitoa onyo kali kwa baadhi ya viongozi wa chama hicho wakiwamo wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wanaotaka kuwapo muundo wa Muungano wa Mkataba ambao unakwenda kinyume na sera za chama hicho na kusema kitawanyanganya kadi zake.
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI