Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Sio lazima uwe dar, ameghairi anaongea na ma-dr,
Shukrani Simba wa teranga pamoja ndugu!
Sio lazima uwe dar, ameghairi anaongea na ma-dr,
hapa.....i reserve my comment
Je ni halali kwa mh. Rais wa nchi kila atakapo kuzungumza na taifa ama kutoa ufafanuzi wa jambo fulani kutumia wazee/makada wa ccm dar es salaam? Je huu uwakilishi ni sahihi kutumika ktk nchi yetu hii iliyodhamiria kufuata mfumo wa vyama vingi?