Alafu kwanini maongezi na hao wazee lazima yafanyike IJUMAA.
Ni forum ya kupiga majungu na propaganda ili kuwapaka matope madaktari.
Wengi wa hao wazee wa Dar ni wale ambao hawawezi kuuliza why and how?
Watahubiriwa na kujazwa ujinga, then it will be broadcasted live on TVs.
The same propaganda was used by President Mwinyi in 1990 during the UDSM's saga.
However, report ya Judge Mloso (sikumbuki vizuri jina la judge), ikaja tofauti kabisa na propaganda za Mwinyi.
Ma Dr. Jiandaeni, Hizo propaganda zitawapa zitawapaka matope na kuwatia hasira!
Sababu ya pilau na wali mweupe......hapo lazima waje na virambo vya ndizi na chachandu...utawasikia '' mweupe uko wapi?''....:bounce:
Hahahaha wale jamaa wa dini ya kuinama na kuinuka wanapenda sana pilau na finyango na leo ndo watakao jaa ukumbini
Mkuu umeniwahi,na wengi ya wazee hao ni kutoka Ilala na Temeke,na hasa wa Ilala wao ndio uwa wanajiita wenye jiji,elimu hawana,maisha ya kueleweka hawana,wao ni vijiweni na story za kale tu na story za Simba,Pan na Young,wazee waliostaarabika wako mbali kabisa na hao wazee!
Ndugu yangu Mjengwa,
Kwanza natoa pongezi kwa kuibua mjadala huu.
Mimi binafsi nipo Dar kwa miaka 31 mfululizo lakini jambo ambalo huwa najiuliza ni hivi vigezo vya wazee hawa wa Dar wanavyopatikana na wakawa na tamko dhidi ya wakaazi wote waishio jijini.
Umeshaanza KUWASHWA na dini sasa?????????
Kwanini JK asiongee na madaktari kutatua tatizo? Hawa wazee si walidhulumiwa malipo yao katika sakata la EAC na kumwagiwa maji ya pilipili kwa ajili ya kudai madai yao? Leo wanakutana na rais wamshauri nini ikiwa wenyewe waliridhika kudhulumiwa.