Siku moja wazee walikuwa wanakunywa pombe kirabun huku wakisikiliza mahubir kutoka kwenye radio mahubiri yalikuwa kama ifuatavyo: sku ya mwisho walevi pamoja na watenda dhambi ote watalia na kusaga meno. Wale wazee waliposikia kusaga meno waliinuka na kushangilia wakisema sisi tumepona kwa sababu hatuna meno