Sioni sababu watu kijidai hawataki muungano wakati kikubwa kinachowasumbua ni njaa,watalii wanaoingia znz wanavaa ovyo kuliko kawaida,lakini hawawaongelei wanaongelea wabara eti hawafuniki kichwa
Tumia akili wewe aliye kwambia zanzibar kuna njaa nani?. Tuna mambo mengi yakufanya kama Wazalendo ili kuikomboa Tanganyika ambayo bado Haija pata uhuru kutoka kwenye utawala mbaya wa mafisadi wa CCM! Achana na waZanzibar nao wanalo la kusema Kuhusu nchi yao (Zanzibar nchi bwana alaa!).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.