Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

Mwambie huyo mchumba ajiongeze kidogo kwani baba yako keshaona options ya utajiri ni wewe na hilo kabati lake.

Wazazi sometimes tujiheshimu
 
Habari zenu wana JF,

Bila kuwachosha naenda moja kwa moja kwenye point. Nilikuwa na mchumba wangu tumejuana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka sasa. Kwa hiyo mwaka huu huyo kaka nilimwambia aje home kujitambulisha, akasema haina shida.

Niliwataarifu wazazi wangu tarehe ambayo aliniambia anakuja wakasema aje kwetu.

Kama kawaida huyo kaka alikuja na mshenga wake pamoja na mjomba wake. Baba yangu alialika wenzake kama 6 hivi ili kujadiliana mahari. Kwa kweli ilikuwa tafrani, kwasababu baba yangu mzazi alishauriana na wenzake mahali iwe 10.5M kitu ambacho kilinishangaza sana.

Mjomba wake akasema hiyo hela hawana kwani hawanunui kiwanja. Baadae mjomba akasema wao wanaweza toa 2.5M baba akasema iongezeke japo 3M kwa shingo upande, kwamba hataki mahari ndogo akidai watakuja wengine.

Jioni yake akaniita mimi na mama akaanza kunifokea. Akaniambia mimi namdhalilisha kuleta mtu masikini na haeleweki kwa hiyo niachane naye, na nisipoachana naye mimi nitakuwa siyo mtoto wake na nikikubali kuolewa naye nisije kukanyaga kwake mpaka kaburi lake nisije kulisogelea.

Hakuishia hapo akaanza kunilinganisha na kabati ambalo anadai limenizidi, kwamba yeye alilinunua kwa bei kubwa kuliko mahali yangu. Nililia sana maana hata mama yangu alikuwa upande wa baba kwa hiyo sikuwa na support yoyote.

Aibu naipata mimi mtaani, naogopa hata kutoka kwenda sehemu kwa ajili ya wazazi wangu kunisambazia doa kubwa.

Naombeni ushauri katika huu wakati mgumu, kushauriwa kumuacha mtu uliyependana naye mkaendana siyo kitu rahisi. Japo huyo kaka hajaonesha dalili zozote za kuniacha, anawasiliana na mimi kama kawaida.

Ahsanteni sana. Napitia maoni yenu, wote nawakaribisha.
Nimemkumbuka Maunda Zorro.

Any way, mapenzi ni ya wawili
 
Habari zenu wana JF,

Bila kuwachosha naenda moja kwa moja kwenye point. Nilikuwa na mchumba wangu tumejuana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka sasa. Kwa hiyo mwaka huu huyo kaka nilimwambia aje home kujitambulisha, akasema haina shida.

Niliwataarifu wazazi wangu tarehe ambayo aliniambia anakuja wakasema aje kwetu.

Kama kawaida huyo kaka alikuja na mshenga wake pamoja na mjomba wake. Baba yangu alialika wenzake kama 6 hivi ili kujadiliana mahari. Kwa kweli ilikuwa tafrani, kwasababu baba yangu mzazi alishauriana na wenzake mahali iwe 10.5M kitu ambacho kilinishangaza sana.

Mjomba wake akasema hiyo hela hawana kwani hawanunui kiwanja. Baadae mjomba akasema wao wanaweza toa 2.5M baba akasema iongezeke japo 3M kwa shingo upande, kwamba hataki mahari ndogo akidai watakuja wengine.

Jioni yake akaniita mimi na mama akaanza kunifokea. Akaniambia mimi namdhalilisha kuleta mtu masikini na haeleweki kwa hiyo niachane naye, na nisipoachana naye mimi nitakuwa siyo mtoto wake na nikikubali kuolewa naye nisije kukanyaga kwake mpaka kaburi lake nisije kulisogelea.

Hakuishia hapo akaanza kunilinganisha na kabati ambalo anadai limenizidi, kwamba yeye alilinunua kwa bei kubwa kuliko mahali yangu. Nililia sana maana hata mama yangu alikuwa upande wa baba kwa hiyo sikuwa na support yoyote.

Aibu naipata mimi mtaani, naogopa hata kutoka kwenda sehemu kwa ajili ya wazazi wangu kunisambazia doa kubwa.

Naombeni ushauri katika huu wakati mgumu, kushauriwa kumuacha mtu uliyependana naye mkaendana siyo kitu rahisi. Japo huyo kaka hajaonesha dalili zozote za kuniacha, anawasiliana na mimi kama kawaida.

Ahsanteni sana. Napitia maoni yenu, wote nawakaribisha.
Mimi nilikuwa na mtoto wa dada yangu ila huyu bidada alikuwa ni mchagua mume mwenye kipato kwakweli hali ya kubahatika waume alikuwa anapata kadiri siku zinavyokwenda baada ya kupita wanaotangulia kumpenda ili aolewe lakin majivuno na dharau za kuchagua alizifanya kubwa. Ebwanae umri nao ulikuwa unaenda sana.


Mara ya mwisho alikubalikuolewa akiwa na umri wa miaka 40.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa na mchumba wangu tumejuana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka sasa. Kwa hiyo mwaka huu huyo kaka nilimwambia aje home kujitambulisha, akasema haina shida.

Niliwataarifu wazazi wangu tarehe ambayo aliniambia anakuja wakasema aje kwetu.

Kama kawaida huyo kaka alikuja na mshenga wake pamoja na mjomba wake. Baba yangu alialika wenzake kama 6 hivi ili kujadiliana mahari. Kwa kweli ilikuwa tafrani, kwasababu baba yangu mzazi alishauriana na wenzake mahali iwe 10.5M kitu ambacho kilinishangaza sana.

Wakati wengine wanaendelea kukushauri kwa habari ya mahari, mimi nina swali moja hapa...

Inakuaje kijana anaenda nyumbani kwenu kujitambulisha, na wakati huo huo analeta mahari?

Nijuavyo mimi hatua ni kama hivi Kujitambulisha >> Posa >> Mahari >> Ndoa...

Dhumuni la kujitambulisha huwa ni kutoa mwanya kwa wazazi kumjua kijana kitabia, kudadisi ukoo wake na mambo mengi kadha wa kadha...
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mwambie babako akuoe yeye sasa
FB_IMG_16617885814582674.jpg


Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
🤔🤔🤔

Yeye baba yako alimuoa mama yako kwa mahari ya thamani gani miaka hiyo?

Lengo haswa la hiyo million ni ili apate pesa ya kufanya mambo yake?
Au ni kupima uwezo wa mwanaume anayekuoa kama ana uwezo wa kukukutunza??
Au ni kumkataa huyo mwanaume kuoa kwenye familia yake???

Kuna wazazi wengine wanakataa watoto wao wasiolewe kwa sababu zao binafsi kisingizio kikiwa mahari, wengine wanakataa watoto wao wasiolewe kwa mwanaume wanayeona hafai kwa kumlima kiasi kikubwa cha mahari

Ila wewe usiwe na haraka, mwisho wa siku kama mwanaume anakupenda kweli kweli hakuachi! Atafanya kama yako alivyokubali kadhia ya miakaHuyo aliyeweza kuvumilia kadhia ya miaka 14 waliishi miaka 100+

🤔🤔🤔

Yeye baba yako alimuoa mama yako kwa mahari ya thamani gani miaka hiyo?

Lengo haswa la hiyo million ni ili apate pesa ya kufanya mambo yake?
Au ni kupima uwezo wa mwanaume anayekuoa kama ana uwezo wa kukukutunza??
Au ni kumkataa huyo mwanaume kuoa kwenye familia yake???

Kuna wazazi wengine wanakataa watoto wao wasiolewe kwa sababu zao binafsi kisingizio kikiwa mahari, wengine wanakataa watoto wao wasiolewe kwa mwanaume wanayeona hafai kwa kumlima kiasi kikubwa cha mahari

Ila wewe usiwe na haraka, mwisho wa siku kama mwanaume anakupenda kweli kweli hakuachi! Atafanya kama yako alivyokubali kadhia ya miaka 14 mradi tuu Raheli awe mke wake
Ila huyo aliyekubali kadhia ya miaka 14 walikua wanaishi miaka 100+
 
Wengine wanaolewa Wazazi hawataki Mahari, wengine wanaolewa Wazazi wanataka Mahari kubwa, Mungu akusaidie katika hii changamoto unayopitia ila wanachokifanya Wazazi wako siyo powa kabisa.
 
Kama familia yako ina kipato kikubwa kuliko cha huyo mchumba/mpenzi wako basi mzee atakua amemuepusha huyo mwanaume na mengi sana.

Sometimes wazazi wanataja mahali ili kupima tu misuli ya kiuchumi ya muoaji na sio kua wanashida nayo kivile.

NB: jukumu la Mwanaume ni kutunza familia yake ( mkewe na watoto) sio ukweni.
 
Habari zenu wana JF,

Bila kuwachosha naenda moja kwa moja kwenye point. Nilikuwa na mchumba wangu tumejuana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka sasa. Kwa hiyo mwaka huu huyo kaka nilimwambia aje home kujitambulisha, akasema haina shida.

Niliwataarifu wazazi wangu tarehe ambayo aliniambia anakuja wakasema aje kwetu.

Kama kawaida huyo kaka alikuja na mshenga wake pamoja na mjomba wake. Baba yangu alialika wenzake kama 6 hivi ili kujadiliana mahari. Kwa kweli ilikuwa tafrani, kwasababu baba yangu mzazi alishauriana na wenzake mahali iwe 10.5M kitu ambacho kilinishangaza sana.

Mjomba wake akasema hiyo hela hawana kwani hawanunui kiwanja. Baadae mjomba akasema wao wanaweza toa 2.5M baba akasema iongezeke japo 3M kwa shingo upande, kwamba hataki mahari ndogo akidai watakuja wengine.

Jioni yake akaniita mimi na mama akaanza kunifokea. Akaniambia mimi namdhalilisha kuleta mtu masikini na haeleweki kwa hiyo niachane naye, na nisipoachana naye mimi nitakuwa siyo mtoto wake na nikikubali kuolewa naye nisije kukanyaga kwake mpaka kaburi lake nisije kulisogelea.

Hakuishia hapo akaanza kunilinganisha na kabati ambalo anadai limenizidi, kwamba yeye alilinunua kwa bei kubwa kuliko mahali yangu. Nililia sana maana hata mama yangu alikuwa upande wa baba kwa hiyo sikuwa na support yoyote.

Aibu naipata mimi mtaani, naogopa hata kutoka kwenda sehemu kwa ajili ya wazazi wangu kunisambazia doa kubwa.

Naombeni ushauri katika huu wakati mgumu, kushauriwa kumuacha mtu uliyependana naye mkaendana siyo kitu rahisi. Japo huyo kaka hajaonesha dalili zozote za kuniacha, anawasiliana na mimi kama kawaida.

Ahsanteni sana. Napitia maoni yenu, wote nawakaribisha.
Mzee wako anamatatizo, eti kama hawataki watakuja wengine
 
Baba yako ameingiliwa na mashetani Wabaya wasiokutakia wewe Maisha Mema.

Mtu anayetanguliza Mali mbele kuliko UTU NI zaidi ya Shetani.
Natamani huo msala ungenipata Mimi.

Mimi ningekuoa na hiyo 2.5M.

Mwambie Baba yako Utajiri kamwe hauwezi nunua upendo
 
Pole sana kwa hilo linalokusibu, kama utakuwa tayari kuiacha familia yako na kumfuata mumeo, naomba mkae chini na kijana mpeane mikakati ya kupata hiyo 3M, sioni kama ni issue kubwa

Lakini kama utakua tayari kuishi mahusiano yako kwa kuongozwa na ndugu au familia yako nakuomba sana usiolewe ubaki ivoivo, maana hautawahi kufanikiwa kwa upande wa ndoa, inaonekana hata akipatikana mwenye kipato, atahamishiwa majukumu yote ya nyumbani kwenu, yaani ndoa itakua ni kama NGO inayosaidia kaya masikini. Mwisho utaachika hata mara tisa kuja kusettle tayari umri wako ushakutupa mkono
Umemaliza
 
Mzee wetu wa ukoo(mchaga)...alifukuza vijana kama wa 4 waliokuja na vi mahari vyao vya uchwara...
Binti yake alimsomesha Russia akahitimu udaktari bingwa wa kichwa(ubongo)
Mzee wa ukoo alikua anataka mahari si chini ya mil 12 na zaidi.
Mmoja wapo akajifanya mwamba akampa ujauzito ili iwe nyepesi...mzee presha na sukari ikapanda
Baada ya kujifungua yule mtoto akaitwa jina la babu yake..kuanzia jina la mwanzo lakati na la mwisho yotee upande wetu...
Mwamba akaenda kufungua kesi...kesi (ikaendaa)..sijui ikwaje mzee akashinda
Sasahizi binti yupo(wanaishi) denmkark na alishaolewa na mwanaume mwengine ambae ni (mshozi) ila dogo yupo(kabaki) kwa babu yake""
("Mzee alikua anasema alitumia pesa nyingi sana kumsomesha uko nje so hataki mahari ya ajabu ajabu"

""DADA kama unajiona una iyo thaman ya mil 10 basi tulia...watakuja tuu wenye uwo uwezo""
neurosurgery ndio mzee akaona ni bonge la issue kwenye social life. Aisee ukileta academic success kwenye social life utafeli vibaya sana. Mtu mwenye academic success ataaspire academic success na social life itakuwa 0, mimi shuhuda.

Sasa kwenye kujenga familia, uwe na mwanaume au mwanamke, degree, masters au PhD haisaidii chochote. Pili wengi waliosoma Russia ni scholarship sio pesa ya kulipa mtu per se. Na kama mzazi mwenye akili, angetafakari athari ya kipsychologia inayompata mtoto kukosa mzazi mmoja, sio ndogo aisee.

Yaani hata uwe mwanamke tajiri kiasi gani, kumkosesha mtoto wa kiume malezi ya baba atakuwa hajiamini hata siku moja, babu sio baba hivyo wengi hugeuka irresponsible au mashoga na kwa wakike hupata an empty hole ambapo atachezewa na kila mwanaume ili afukie hilo shimo.

kwahiyo mzee kaona mshahara wa neurosurgeon ulovyomnono ndio akamthaminisha binti yake, aisee amemuweka binti yake kuwa mzinzi akitegemea kuwa pesa nyingi huficha uzinzi, aisee.

Kitu kimoja shika, mwanamke atabaki kuwa mwanamke, hata uwe secretary wa USA au UN, thamani yako huenda zadi na kujitunza na umri wako.

In the end kuna wamama wakurugenzi wameishia kutunza wanaume wavulana kwasababu ya kukosa mume na vicious cycle ya kutunza mtoto kipumbavu inajirudia tena, sema mpe huyo dada heshima yake, hiyo masters sio mchezo.
 
Acha ufalaaa wewe unajua gharama tunazotumia sie wazazi kuwalea nyie watoto? Msilete zenu bwana mtoto wa kike hatakiwa toka kwa bei nafuu. Ebo kwanza wanaume wenyewe wataenda kumtesa tuu mtoto na mihangaiko ya michepuko.

Mzee kashasema kuwa watakuja wengine, itakuwa alishajua kuna njemba anakuja kutoa hizo hela so mrembo atulie tuu. Daddy knows whats best for her
Sio ukweli, baba anatumia busara bali alijuaye bora ni Mungu tu. Actually kwakizazi hichi, wasichana wengi hulala na baba zao kisirisiri, so sikweli wanajua lililo bora.
 
Baba ako mwenyewe maskini anatafta hyo m10 akafidie kiinua mgongo kama wenzake waliopiga kaz serikalini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom