Ishi na huyo mpenzi wako, zaa naye mtoto baadaye mbariki ndoa!
Some wazazi, du! Pole lkn.
Je ndugu zao...Baba Mkubwa/Mdogo...Mjomba na Shangazi wote lao moja?? Hakuna mwenye upeo wa kuwakalisha chini na kuwapa darsa kidogo wakalegeza msimamo na kuheshimu maamuzi yako??