Hilo jina mbona Tata?Na ukitaka umfurahishe mzanzibar basi we muambie umefanana na muarab.. baso roho yake inapaa balaa
Nakumbuka siku Kipchoge Keino alipotambulishwa na Kenyatta. Kenyatta Ni mkikuyu na Keino kwa kikikuyu Ni uchi wa mwanamke.
Kenyatta na uhuni wake aliwiwa vigumu kumtangaza shujaa Keino kwa majina yote mawili