Wazanzibar UK wakerwa na vitendo vya kukamatwa kwa Masheikh Z'bar

Status
Not open for further replies.

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
Wazanzibari Slough UK wakusanyika Iydul Adh-ha

Nae Ustadh Omar Amiri wa Jumuiya ya Wazanzibari waishio Slough – Uk. baada ya swala ya iyd ul adh'ha alitoa khutbah ambayo ilizungumzia umoja na mshikamano kwa waislam, ambayo kwa kiasi kikubwa ilisisitiza kwa waislam wote duniani kutokubali kudhalilishwa na kudhulumiwa haki zao.

Kadhalika Ustadh Omar aligusia vipengele muhimu sana katika historia ya dini yetu pale ambapo Mtume wetu Muhammad (saw) alivitaja katika hijjatul wada'a pale aliposema kua " msidhulumiane, msizidishiane bei, msitukanane, msidharauliane, ni haramu kwa kila Muislam kumwaga damu ya Muislam mwenzake, kumvunjia hadhi na heshima yake, ikiwa anayahusisha haya na yale yanayofanyika Zanzibar, khususan kwa kile alichokiita ufedhuli wa wazi kwa masheikh na wanazuoni wa kizanzibari ( Sheikh Farid, Sheikh Mselem, Sheikh Azzan, Sheikh Mussa Juma na wenziwao.

kadhalika Ustadh Omar , alisema hichi wanachofanyiwa hawa Masheikh wa Zanzibar, ni kuendeleza sera za makafiri duniani na wasioupendelea kheri Uislam kwa vile haya alifanyiwa Sheikh Kishk wa Misr, Sheikh Aboud Rogo wa Mombasa Kenya na leo tunayaona haya kwa masheikh wetu wa zanzibar suala mbalo ni haramu kulivumilia.

Aidha amewataka waisilamu kuifahamu hadithi ya Bwana Mtume (saw) pale aliposema mmoja wenu akiuona uovu basi auondoe kwa mkono wake, na ikiwa hawezi kuuondoa kwa mkono wake basi ausemee (kwa mdomo wake ) na ikiwa hawezi kufanya hivyo basi achukie kwa moyo wake , lakini hiyo ni imani ya daraja la chini.

Alisema basi jee hawa viongozi wa Zanzibar ndio hawawezi hata kusemea au kuchukia kwa nafsi uovu huu na dhulma hizi juu ya Zanzibar na yale wanayofanyiwa wanazuoni wa Zanzibar ambao wanarithi kazi za Mitume kama alivyosema ,tume Muhammad (saw) ?

Pia masheikh wote wanaoshuhudia haya kwa Zanzibar hawaoni kama huu ni unafiq wa wazi ambao utawapeleka motoni siku ya qiyama. Kama ule unafiki wa wazi unaofanywa na Soraga ambae yeye sio Sheikh bali ni mtu ambae analinda tonge.

Imewekwa na MAPARA at 10:19 AM
 
Eid-prayers-from-all-over-the-world-muslims-31924444-960-720.jpg

Wazanzibari Slough UK wakusanyika Iydul Adh-ha




Nae Ustadh Omar Amiri wa Jumuiya ya Wazanzibari waishio Slough – Uk. baada ya swala ya iyd ul adh'ha alitoa khutbah ambayo ilizungumzia umoja na mshikamano kwa waislam, ambayo kwa kiasi kikubwa ilisisitiza kwa waislam wote duniani kutokubali kudhalilishwa na kudhulumiwa haki zao.

Kadhalika Ustadh Omar aligusia vipengele muhimu sana katika historia ya dini yetu pale ambapo Mtume wetu Muhammad (saw) alivitaja katika hijjatul wada'a pale aliposema kua " msidhulumiane, msizidishiane bei, msitukanane, msidharauliane, ni haramu kwa kila Muislam kumwaga damu ya Muislam mwenzake, kumvunjia hadhi na heshima yake, ikiwa anayahusisha haya na yale yanayofanyika Zanzibar, khususan kwa kile alichokiita ufedhuli wa wazi kwa masheikh na wanazuoni wa kizanzibari ( Sheikh Farid, Sheikh Mselem, Sheikh Azzan, Sheikh Mussa Juma na wenziwao.

kadhalika Ustadh Omar , alisema hichi wanachofanyiwa hawa Masheikh wa Zanzibar, ni kuendeleza sera za makafiri duniani na wasioupendelea kheri Uislam kwa vile haya alifanyiwa Sheikh Kishk wa Misr, Sheikh Aboud Rogo wa Mombasa Kenya na leo tunayaona haya kwa masheikh wetu wa zanzibar suala mbalo ni haramu kulivumilia.

Aidha amewataka waisilamu kuifahamu hadithi ya Bwana Mtume (saw) pale aliposema mmoja wenu akiuona uovu basi auondoe kwa mkono wake, na ikiwa hawezi kuuondoa kwa mkono wake basi ausemee (kwa mdomo wake ) na ikiwa hawezi kufanya hivyo basi achukie kwa moyo wake , lakini hiyo ni imani ya daraja la chini.

Alisema basi jee hawa viongozi wa Zanzibar ndio hawawezi hata kusemea au kuchukia kwa nafsi uovu huu na dhulma hizi juu ya Zanzibar na yale wanayofanyiwa wanazuoni wa Zanzibar ambao wanarithi kazi za Mitume kama alivyosema ,tume Muhammad (saw) ?

Pia masheikh wote wanaoshuhudia haya kwa Zanzibar hawaoni kama huu ni unafiq wa wazi ambao utawapeleka motoni siku ya qiyama. Kama ule unafiki wa wazi unaofanywa na Soraga ambae yeye sio Sheikh bali ni mtu ambae analinda tonge.




Imewekwa na MAPARA at 10:19 AM
Huku akiwa anaishi kwa amani tele kwenye nchi ya makafiri.
 
Atoke huko aliko na aje kuyazungumza hayo kwa vitendo huku zanzibar. Hajui ni shida gani wazopata wenzao walioko huku
 
Kwa maana anacho kisema huyu bwana ni kwamba masheikhe Zanzibar wanatakiwa kuwa juu ya sheria? Ina maana mtu Zanzibar akiwa kiongozi wa dini ya Kiislamu basi asiguswe wala kushikwa hata anapo fanya makosa?
 
Nae Ustadh Omar Amiri wa Jumuiya ya Wazanzibari waishio Slough – Uk. baada ya swala ya iyd ul adh'ha alitoa khutbah ambayo ilizungumzia umoja na mshikamano kwa waislam, ambayo kwa kiasi kikubwa ilisisitiza kwa waislam wote duniani kutokubali kudhalilishwa na kudhulumiwa haki zao.

Naamini wewe ni mtu ulie elimika vyakutosha. naomba utueleze kwa ufasaha huko kudhalilishwa na kudhulumiwa haki zao.ni kupi? au umataka mfanyiwe nini ili muone kuwa hamdhalilishwi? maana hii ndiyo kama formula kila siku na kila saa .
 
Naye akamatwe na anyolewe ndevu kwa uchochezi huu. Kwanini analeta uchochezi kwa kutumia vibaya hadithi nzuri zenye mafundisho mema ya Mtume (SAW).?
 
Mbona anazumngumzia makafir wakari anapata benefit toka kwa hao hao makafir! ahame basi ktk ardhi ya makafir! mimi nilisha sema jamani hebu tuendeleeni na dini na imani zetu ndugu zangu wa waislamu wenye imani na upendo na isiwe uchochoze usio na maana kama huyu ndugu yetu wa Slough probably akiishi ktk council benefits za makafir.
 
Nyie watu mnaniachaga hoi sana. mko UK kwa makafiri mlikohalalishiwa kuona jinsia moja halafu unatetea wahalifu TZD. Huko UK hamjadhulumiwa au huko mfumo kristo hauwanyimi haki???? Punguzeni unafiki japo kwa sekunde chache tu.
 
Wapendwa watu wa Mungu tunahitaji kuwa na maombi kwa Nchi yetu kuiweka chini ya mikono ya Mungu. Tufunge na kuomba kwa yote kabisa kwa Mapenzi ya Mungu.

Hii ni dhahiri ya kuwa shetani wakati wote yupo kazini. Je inakuwaje shetani anataka kuvunja amani tuliyopewa na Mungu wetu anayetupenda?.

Tuwaombee pia wenzetu wote wamfahamu vizuri Mungu wetu kwa kusaidiwa na Roho Mtakatifu.

Amen
 
Ni wajinga tu ambao huitwa waislam ndo wanaweza kufundishwa na manyang'au wa aina hii...Mkristo hata awe mwendawazimu vipi huwezi kumdanganya,maana hayo mafundisho yanamfaa mbwa tu au fisi..asiyetumia akili
 
Huku akiwa anaishi kwa amani tele kwenye nchi ya makafiri.

si ndio hapo alafu utakuta huyo sheikh hana makaratasi ya kuishi uk amejilipua ana makaratasi ya ukimbizi na anavuta hela ya serikali kila ijumaa alafu anawatukana watu hao hao wanaolisha familia yake....hawa watu washenzi sana sijawahi ona
 
Kwani Zanzibar si nchi ya makafiri? Ukafiri ni nini mwanangu Sweke34? Kinachoendelea baina ya Uamsho na SMZ ni ukafiri mtupu. Maana walikula njama kujitoa kwenye muungano bila kufuata sheria sasa yanawarudi wanaanza kurudiana wao kwa wao. Kinachopaswa kuongelewa hapa si waislam bali wazanz au watanzania kama imezidi. Nje ya Tanzania hakuna amani ZNZ. Akina Seif waivuruga Znz kama Comoro.
 
Eid-prayers-from-all-over-the-world-muslims-31924444-960-720.jpg

Wazanzibari Slough UK wakusanyika Iydul Adh-ha




Nae Ustadh Omar Amiri wa Jumuiya ya Wazanzibari waishio Slough – Uk. baada ya swala ya iyd ul adh'ha alitoa khutbah ambayo ilizungumzia umoja na mshikamano kwa waislam, ambayo kwa kiasi kikubwa ilisisitiza kwa waislam wote duniani kutokubali kudhalilishwa na kudhulumiwa haki zao.

Kadhalika Ustadh Omar aligusia vipengele muhimu sana katika historia ya dini yetu pale ambapo Mtume wetu Muhammad (saw) alivitaja katika hijjatul wada'a pale aliposema kua " msidhulumiane, msizidishiane bei, msitukanane, msidharauliane, ni haramu kwa kila Muislam kumwaga damu ya Muislam mwenzake, kumvunjia hadhi na heshima yake, ikiwa anayahusisha haya na yale yanayofanyika Zanzibar, khususan kwa kile alichokiita ufedhuli wa wazi kwa masheikh na wanazuoni wa kizanzibari ( Sheikh Farid, Sheikh Mselem, Sheikh Azzan, Sheikh Mussa Juma na wenziwao.

kadhalika Ustadh Omar , alisema hichi wanachofanyiwa hawa Masheikh wa Zanzibar, ni kuendeleza sera za makafiri duniani na wasioupendelea kheri Uislam kwa vile haya alifanyiwa Sheikh Kishk wa Misr, Sheikh Aboud Rogo wa Mombasa Kenya na leo tunayaona haya kwa masheikh wetu wa zanzibar suala mbalo ni haramu kulivumilia.

Aidha amewataka waisilamu kuifahamu hadithi ya Bwana Mtume (saw) pale aliposema mmoja wenu akiuona uovu basi auondoe kwa mkono wake, na ikiwa hawezi kuuondoa kwa mkono wake basi ausemee (kwa mdomo wake ) na ikiwa hawezi kufanya hivyo basi achukie kwa moyo wake , lakini hiyo ni imani ya daraja la chini.

Alisema basi jee hawa viongozi wa Zanzibar ndio hawawezi hata kusemea au kuchukia kwa nafsi uovu huu na dhulma hizi juu ya Zanzibar na yale wanayofanyiwa wanazuoni wa Zanzibar ambao wanarithi kazi za Mitume kama alivyosema ,tume Muhammad (saw) ?

Pia masheikh wote wanaoshuhudia haya kwa Zanzibar hawaoni kama huu ni unafiq wa wazi ambao utawapeleka motoni siku ya qiyama. Kama ule unafiki wa wazi unaofanywa na Soraga ambae yeye sio Sheikh bali ni mtu ambae analinda tonge.




Imewekwa na MAPARA at 10:19 AM

kwa dini yenu inasema ni haramu kumwaga damu ya muislam mwenzako lakini ni halali kumwaga damu ya mtu ambae sio muislam...daah dini yenu kweli ndio maana watu wanasema ni dini ya majini...dini ya kikristo inasema huruhusiwi kumwaga damu ya binadamu yoyote yule haijalishi ni dini gani maana binadamu wote ni wana wa mungu wameumbwa na mungu mmoja...alafu mnaita wakristo makafiri...nyie waislam ni wauaji na wachawi wakubwa
 
Rudini kwenu Zanzibar au nendene Uarabuni. Kwanini mnapenda sana nchi zetu Wakristo? Sijaona mkikimbilia Urabuni, Porkistan, Iran Iraq, etc
 
Acha kuwa na jazba toa takwimu halisi. Ungesema kuwa uislamu ni moja kati ya dini zinazopata waumini wengi [pengine ningekubali] kwani nchi hii ilifungua milango raia wa nchi nyingi ambazo zilikuwa makoloni yao [hasa india na pakistani] kuhamia huko na jamaa hao kwa kuzaliana ndiyo wenyewe na watoto wao hivi sasa wana wajukuu na inasemekana pia vijana wanaojiunga isis wengi wao ni vizazi hivyo.

Ukweli mwingine ni kwamba ulaya yote hivi sasa wengi huenda kanisani wakati wa pasaka na krismass hivyo kuwacha makanisa mengi kuwa matupu kwa muda mrefu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom