Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,144
- 6,946
Hakuna binadamu mwenye ardhi yote ni ya Mungu,wanadamu ndio tunawekeana mipaka,ajabu twawekeana mipaka,lakini tutakufa na kila kitu tutakiacha duniani.Huku akiwa anaishi kwa amani tele kwenye nchi ya makafiri.