Wazalendo tunaipongeza ITV kwa kukataa kununuliwa na kutoa taarifa ya Mkulima aliyewashtaki Mawaziri Mahakama ya Kisutu

Hiyo kesi nilishaisahau, kumbe ipo, hakuna MMM mwingine akatuletee updates mahakamani?

Kesi ina public interest kubwa sana hiyo.
 
Back
Top Bottom