Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Mwekezaji baada ya kuwakosa wafugaji kuwaparamia na gari lake huko Mbalari alimalizia hasira zake kwa punch babu kubwa iliyoondoa uhai wa ng'ombe huyu. Kama kulikuwa na kosa kwa nini asiombe vyombo vya usalama vimsaidie badala ya kuharibu kwa hasira mali za wazawa?