Wavulana na suruali chini ya makalio,vipuli,kujichubua na kusuka'Je kuna faida gani?

Unajua wengi wao hawa wavaa kata k, na mengine ya hivyo ni hawa wa umri wa kati, wengine wanafunz wa sekondari, wa vyuo vikuu na wengine ni wasakanyoka tu mitaani.haya mambo yanabadilika namna wanayoendelea kukua na majukumu pia yanawabadilisha, kwa sasa ni ujana tu na mkumbo unawasumbua. Anayejiandaa kuwa mwanasheria hiyo taaluma yake itamlazimisha kubadilisha mtindo wake wa uvaaji na mwonekano kwa ujumla. Umri nao una nafasi kubwa katika hilo.
Nambe! Where did u get this quote from??
So if that is the case. You saw some1 with his pants hanging like he shit himself and he is walking like over loaded truck you are going to think mhhh! may be he is a lawyer!
Hahahahaha. My friend when it comes to human being. Your appearance talks more than what you are.
 
Unajua wengi wao hawa wavaa kata k, na mengine ya hivyo ni hawa wa umri wa kati, wengine wanafunz wa sekondari, wa vyuo vikuu na wengine ni wasakanyoka tu mitaani.haya mambo yanabadilika namna wanayoendelea kukua na majukumu pia yanawabadilisha, kwa sasa ni ujana tu na mkumbo unawasumbua. Anayejiandaa kuwa mwanasheria hiyo taaluma yake itamlazimisha kubadilisha mtindo wake wa uvaaji na mwonekano kwa ujumla. Umri nao una nafasi kubwa katika hilo.

Unachovaa ndio kitawapa watu impression juu yako
 
Hizi ni athari za umagharibi ambazo kwao ni mambo yakawaida tu na kuonekano kwazo kawaida sina uhakika kama ndio utamaduni au labda mafunzo ya kumtambua mungu hawayafaham au ni kupuuzia tu na wao walianza zamani kidogo,haikua ni vitu vya kuiga kwasababu si vitu vyenye staha na kiukweli vinatia chachu sana ya mhusika kuweza kuiga ata mengine pia!wengi hua ni fasheni tu ila baadhi huamia kabisa kwenye ukhanithi ni hii nikwa wanawake pia,zamani wanawake walikua wakivaa sketi tu ndeeefu ila ni hawa hawa waliokuja kuharibu na kuwavalisha jeans!ni mambo yanayohitaji kukemewa sana na jamii,ni mmomonyoko wa maadili uhasi ulio ondoa uchanya!
 
Ni ushamba tu na ujinga! Ila ni hatua za ujana tu, wakikua huwa wanaacha!

Wengine hawaachi ati,hata wewe ni mshamba kwa kupinga hayo mana wale wenye tabia hizo wakikuona nao watesema mshamba ukiwashangaa
 
Heshima yenu wakuu!

Siyo siri kunavitu vinanitatiza sana na bado sijavipatia majibu toshelezi....naleta kwenu ili tusaidiane idea.
Jamani utakuta mkaka au wakaka amevaa pensi au suruali mzuri sana lakini cha kushangaza utaona upande wa nyuma
kaachia inaning'nia chini ya ****** na hana wasiwasi wowote! wenyewe wanaiita kata K.

Pili utakuta mwanaume ametoga masikio yake na kavaa heleni (vipuli) au utakuta ana ring kwenye ulimi au kwenye lips zake.
Wanaume wengine wanafikia hatua ya kujichubua na kusuka nywele (lakini siyo mashoga) wanatembea barabarani na hawana
hata mshipi wa aibu! Tena cha kushangaza unaweza mkuta au wakuta ameambatana na mwanamke mzuri na mwenye heshima
zake.
Jamani wanaume kuvaa chini yamatako,hereni,kujichubua na kusuka kuna faida gani? na wanawake wafanye nini? Na kama kuna
faida basi tuelezane ili sisi tusioelewa ili tufunguke na tuone kitu cha kawaida tu. - Nawasilisha kwa mgongano wa kimawazo na kimtizamo.

Hapana,ni fashion ya vijana kwa kizazi cha sasa.kila kizazi kilikuwa na fashion yake ambayo kwa njai moja ama nyingine iliwaudhi walioko mbele yake.

Baadaye kikazi hiki kitapitwa na kuja nyingine

ni kawaida tu.

ukikumbuka fashion ya kizazi chako wakati wa ujana,kuna watakaoponda wakati wewe uliona ni mtindo.

mimi wakati wa ujana wa miaka 16-25 tulikuwa na pichu za VIP,Butoos,sky way nk. na mtu aliyevaa Pichu ya VIP aliionesah kwa wenzake. na hii iliwakera kaka zetu
 
Ukiona umeanza kuwashangaa vijana jua kwamba umeanza kuzeeka....
Haya mambo ya fashion ni ya kupita na kila generation huwa inawashangaa vijana

Suruali sawa zitapita, maana hata madingi zimepita kwasasa hawavai za kubana....Je ukitoboa pua, sikio na ulimi navyo vitapita baada ya muda vijinyama ulivyotoa vitarudi????
 
Heshima yenu wakuu!

Siyo siri kunavitu vinanitatiza sana na bado sijavipatia majibu toshelezi....naleta kwenu ili tusaidiane idea.
Jamani utakuta mkaka au wakaka amevaa pensi au suruali mzuri sana lakini cha kushangaza utaona upande wa nyuma
kaachia inaning'nia chini ya ****** na hana wasiwasi wowote! wenyewe wanaiita kata K.

Pili utakuta mwanaume ametoga masikio yake na kavaa heleni (vipuli) au utakuta ana ring kwenye ulimi au kwenye lips zake.
Wanaume wengine wanafikia hatua ya kujichubua na kusuka nywele (lakini siyo mashoga) wanatembea barabarani na hawana
hata mshipi wa aibu! Tena cha kushangaza unaweza mkuta au wakuta ameambatana na mwanamke mzuri na mwenye heshima
zake.
Jamani wanaume kuvaa chini yamatako,hereni,kujichubua na kusuka kuna faida gani? na wanawake wafanye nini? Na kama kuna
faida basi tuelezane ili sisi tusioelewa ili tufunguke na tuone kitu cha kawaida tu. - Nawasilisha kwa mgongano wa kimawazo na kimtizamo.
Mimi sijawahi kuona tatizo mtu kutoga masikipo hata siku moja,tatizo linakuja kwenye social perception ya watz na waafrica at all lakini sioni tatizo kabisa kwenye hii kitu
 
Unajua wengi wao hawa wavaa kata k, na mengine ya hivyo ni hawa wa umri wa kati, wengine wanafunz wa sekondari, wa vyuo vikuu na wengine ni wasakanyoka tu mitaani.haya mambo yanabadilika namna wanayoendelea kukua na majukumu pia yanawabadilisha, kwa sasa ni ujana tu na mkumbo unawasumbua. Anayejiandaa kuwa mwanasheria hiyo taaluma yake itamlazimisha kubadilisha mtindo wake wa uvaaji na mwonekano kwa ujumla. Umri nao una nafasi kubwa katika hilo.
Attorney general wa Kenya anavaa pillet na hakuna mtu wa kutengua maamuzi yake itakuwa Bongo
 
heshima yenu wakuu!

siyo siri kunavitu vinanitatiza sana na bado sijavipatia majibu toshelezi....naleta kwenu ili tusaidiane idea.
Jamani utakuta mkaka au wakaka amevaa pensi au suruali mzuri sana lakini cha kushangaza utaona upande wa nyuma
kaachia inaning'nia chini ya ****** na hana wasiwasi wowote! Wenyewe wanaiita kata k.

Pili utakuta mwanaume ametoga masikio yake na kavaa heleni (vipuli) au utakuta ana ring kwenye ulimi au kwenye lips zake.
Wanaume wengine wanafikia hatua ya kujichubua na kusuka nywele (lakini siyo mashoga) wanatembea barabarani na hawana
hata mshipi wa aibu! Tena cha kushangaza unaweza mkuta au wakuta ameambatana na mwanamke mzuri na mwenye heshima
zake.
Jamani wanaume kuvaa chini yamatako,hereni,kujichubua na kusuka kuna faida gani? Na wanawake wafanye nini? Na kama kuna
faida basi tuelezane ili sisi tusioelewa ili tufunguke na tuone kitu cha kawaida tu. - nawasilisha kwa mgongano wa kimawazo na kimtizamo.

ndio asili yetu

zamani sana mababu zetu walikuwa wana mitindo ya nywele ya kusuka kwa ustadi na tunayo mpaka leo

zamani pia mababu zetu walikuwa wanatoboa masikio yao na kuvaa hereni sie tunaendeleza

mdogo wangu wa kiume katoboa masikio, akiamua kusuka ni yeye mwenyewe simkatazi

na nimuone mtu analeta fyoko fyoko zake

nazungumzia kabila langu la kimasai
 
[SUB]hujajua siku hizi kuna ma shost wa kiume?[/SUB]Hao wanao toga na kujichubua ndio makaka du.
 
Kuna baadhi ya viongozi wa chama tawala wanadai inawaongezea mvuto hasa wanapopanda majukwaani.
 
Hapana,ni fashion ya vijana kwa kizazi cha sasa.kila kizazi kilikuwa na fashion yake ambayo kwa njai moja ama nyingine iliwaudhi walioko mbele yake.

Baadaye kikazi hiki kitapitwa na kuja nyingine

ni kawaida tu.

ukikumbuka fashion ya kizazi chako wakati wa ujana,kuna watakaoponda wakati wewe uliona ni mtindo.

mimi wakati wa ujana wa miaka 16-25 tulikuwa na pichu za VIP,Butoos,sky way nk. na mtu aliyevaa Pichu ya VIP aliionesah kwa wenzake. na hii iliwakera kaka zetu

Mwanamume kutoboa pua,ulimi na na kwingineko sio fashion ni kujitia UKILEMA WA MAISHA.
 
Back
Top Bottom