October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,999
Kuna mdau alinieleza Arusha yeye anauza mishikaki shule ya msingi wanafunzi wanauwezo wa kununua kwa bei ya 300 Tzs mshikaji mmoja, kwa DSM wanafunzi hata 100 wanaona nyingi alafu vitu vyote wanavyouza shule za msingi 100 Tzs.
Huyu jamaa tungeongea hili suala ila last seen yake inaoneshwa ajaingia JF muda sana.
Nachotaka kujua kwa mtu aliye Arusha aniambie katika shule za msingi vitu vyao wanauza kwa bei gani kachori, Ice Cream nk Inaweza kuwa njia ya kuMake prpability/Hypothesis kuwa kweli uwenda wanafunzi wananunua hata 300 Tzs mshikaki ukiwauzia.
Ningempata anaejishungulisha na kuuza ingekuwa vizuri zaidi ila ngumu kumpata kwasababu hii iashara sio common.
Huyu jamaa tungeongea hili suala ila last seen yake inaoneshwa ajaingia JF muda sana.
Nachotaka kujua kwa mtu aliye Arusha aniambie katika shule za msingi vitu vyao wanauza kwa bei gani kachori, Ice Cream nk Inaweza kuwa njia ya kuMake prpability/Hypothesis kuwa kweli uwenda wanafunzi wananunua hata 300 Tzs mshikaki ukiwauzia.
Ningempata anaejishungulisha na kuuza ingekuwa vizuri zaidi ila ngumu kumpata kwasababu hii iashara sio common.