pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Sio BOB ni Lucky
Kumbuka kwamba katiba hiyo inayowalinda imeharamisha matumizi ya bangi, iwe shuleni au nyumbani, na katiba hiyo hiyo pia imewapa uhuru wanafunzi waislamu kuvaa hijab mashuleni.Bhangi a.k.a Cannabis sativa nayo ni sehemu ya ibada yao. Hiyo shule ijipange mfereji wa maji taka umeelekezwa huko kupitia katiba na wanasheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka kwamba katiba hiyo inayowalinda imeharamisha matumizi ya bangi, iwe shuleni au nyumbani, na katiba hiyo hiyo pia imewapa uhuru wanafunzi waislamu kuvaa hijab mashuleni.
Ndio maana kisheria haki za wananchi zinazolindwa na katiba zina 'limitations'. Kwa mfano haki ya mwananchi yeyote yule kujieleza, yaani freedom of speech/expression, huvuka mipaka na kuwa kitu haramu kisheria pale ambapo haki hiyo inapotumika kuingilia au kuvuruga haki zozote zile za mwananchi mwingine.Ukisikia mkorogo au zege ndio hilo.
Unakataa kwa mkono wa kulia na kukubali kwa mkoni wa kushoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na mleta mada ni Rastafarians na huwa ananuna sana akiulizwa kuhusu hii dini 😎😎Comments zije fupi fupi maana humu wachangiaji wengi watakua tayari washazimua kitochi....
Hata madevu ni sunna kwa wengine.