Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kweli Watanzania wengi sasa wameanza kuamka -- ukiachilia mbali wale wachache walioathirika na sekondari za kata. Nilikuwa Mbeya wiki iliyopita na kila nilipopita wananchi wanasema CCM iko tayari kuiba kura na kuleta vurugu ili uchaguzi uharibike kuliko kuona mgombea wao aangushwe na Dk Slaa.
Wengi wanasema safari hii CCM hawana njia nyingine.i
Wengi wanasema safari hii CCM hawana njia nyingine.i