Watz ovyo kabisa!!!!!

Hivi inakuwaje serikali inafukuza madaktari wanaowatibia pneumonia na malaria zenu pale mhimbili na ninyi mmenyamanza kimya? watawala wakiugua wanapanda pipa, ninyi mkiugua mnakimbilia mhmbli ambapo mama nyoni(katibu wizara ya afya) amefukuza madaktari, nani atawatibu huko? kilichofanywa na wizara ya afya ni kama kumwaga uji wa mgonjwa mahututi, kipi kitatokea?si watz, si wanaojiita wanaharakati, si profesionals; wote waoga!!!kwa nini wananchi msiwape kampani hao madokta wanaonyanyaswa na kuingia barabarani kuandamana hadi wizara ya afya? mbona nchi nyingine kama nigeria, kenya n,k wanaungana na kuandamana linapokuwa swala la kuhatarisha maslahi yao? kwani nani amewaloga watanzania hata kuwa kama mbwa aliyemwona chatu?tunaliwa huku tukiwa macho na akili zetu, ama kweli lakuvunda halina ubani!!!!!!!!!

Sisi watanzania ni nani aliyeturoga,huu ujinga wetu kwa kweli unasikitisha sana,tunashindwa kupaza sauti kwa mambo mengi ya msingi kama haya,ni lini tutaamka?muda mwingine unaweza kwenda mbali na kusema kwa nini nilizaliwa mTanzania,ebu tuamkene jamani,hii nchi na rasilimali zake ni zetu wote,lazima matunda yake tuyafaidi wote!tusiendelee kukubali wachache waendelee kunufaika na rasimali zetu peke yao na wawe na kauli juu yetu,lazima tuamke na kupaza sauti,waelewe kua tuna uelewa sasa!
 
Hivi inakuwaje serikali inafukuza madaktari wanaowatibia pneumonia na malaria zenu pale mhimbili na ninyi mmenyamanza kimya? watawala wakiugua wanapanda pipa, ninyi mkiugua mnakimbilia mhmbli ambapo mama nyoni(katibu wizara ya afya) amefukuza madaktari, nani atawatibu huko? kilichofanywa na wizara ya afya ni kama kumwaga uji wa mgonjwa mahututi, kipi kitatokea?si watz, si wanaojiita wanaharakati, si profesionals; wote waoga!!!kwa nini wananchi msiwape kampani hao madokta wanaonyanyaswa na kuingia barabarani kuandamana hadi wizara ya afya? mbona nchi nyingine kama nigeria, kenya n,k wanaungana na kuandamana linapokuwa swala la kuhatarisha maslahi yao? kwani nani amewaloga watanzania hata kuwa kama mbwa aliyemwona chatu?tunaliwa huku tukiwa macho na akili zetu, ama kweli lakuvunda halina ubani!!!!!!!!!

Mbona ss watz ndio tunaongoza kwa Ukondoo toka enzi na enzi. Hatuna ubavu wa kufanya lolote na maisha yataendelea kuback step kama kawaida
 
Ovyo Ovyo!! Umeme umepanda 40%,vyakula havishikiki! Tunawapa downs bilions huku hazina ikiwa hoi!! Tupo tupo tu tunawadiscus akina kafulila!! Damn! Hakyanani tupo tupo tu! viongozi wamefeli tutumie nguvu tu!
 
Back
Top Bottom