ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Samahani sana wana jamvi.
Nimeamua kuanzisha kampeni ya kuchukua RUSHWA kwa watoa huduma wote kuanzia wale wa umma na wale wa sekta binafsi. Sababu za kuhamasisha kudai rushwa ni:-
(i) Kupambana na gharama za maisha zinazopaa kila siku. Mchele leo 1700/- sukari 2500/- khanga ya urafiki 8000/- mafuta ya taa 2300/- na mengine kibao. Kupokea rushwa, kutasaidia kupambana na hali ya maisha iliyopo.
(ii) Kuendana na fikra za wawakilishi wetu, walijipandishia posho kwa asilimianahamsininanne=154%
(iii) Kudai rushwa kwa kiwango sawa na ongezeko la posho ya wabunge, kutawafanya wananchi mbumbumbu waichukie moja kwa moja serikali na hivyo kujitosa moja kwa moja katika kuikomboa nchi yao.
WALIMU, ASKARI WA MAJESHI YOTE, MADAKTARI, WATUMISHI WA HALIMASHAURI, MANSPAA NA MAJIJI, WATUMISHI WA MAMLAKA ZOTE NCHI, CHUKUA RUSHWA ILI KUSAIDIA KUIKOMBOA TANGANYIKA YETU.
Ni mawazo yangu tu jamani
Nimeamua kuanzisha kampeni ya kuchukua RUSHWA kwa watoa huduma wote kuanzia wale wa umma na wale wa sekta binafsi. Sababu za kuhamasisha kudai rushwa ni:-
(i) Kupambana na gharama za maisha zinazopaa kila siku. Mchele leo 1700/- sukari 2500/- khanga ya urafiki 8000/- mafuta ya taa 2300/- na mengine kibao. Kupokea rushwa, kutasaidia kupambana na hali ya maisha iliyopo.
(ii) Kuendana na fikra za wawakilishi wetu, walijipandishia posho kwa asilimianahamsininanne=154%
(iii) Kudai rushwa kwa kiwango sawa na ongezeko la posho ya wabunge, kutawafanya wananchi mbumbumbu waichukie moja kwa moja serikali na hivyo kujitosa moja kwa moja katika kuikomboa nchi yao.
WALIMU, ASKARI WA MAJESHI YOTE, MADAKTARI, WATUMISHI WA HALIMASHAURI, MANSPAA NA MAJIJI, WATUMISHI WA MAMLAKA ZOTE NCHI, CHUKUA RUSHWA ILI KUSAIDIA KUIKOMBOA TANGANYIKA YETU.
Ni mawazo yangu tu jamani