Septemba11
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 620
- 527
Lowassa atosha,kazi hata punda anaweza.
Ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni,ni kweli Magufuli anafaa ila amekuja wakati mbaya,watu wanataka mabadiliko nje ya CCM,na kwa sasa UKAWA ndio mpango mzima.
Ha ha ha like mingi sanaaaaLowassa atosha,kazi hata punda anaweza.
Hakuna deni la Mwl ambalo halija lipwa..
Magufuli tumaini jipya kwa ccm na watumishi.
Tuna imani na Magufuli atashughulikia maswala hayo yote usijali mtumishi we mpe kura tuu yule mtendaji
Lowassa atosha. Magufuli Pole sana,
na kwa taarifa , hata hapa jimboni kwa magufuli, Ubunge ni Ukawa.
MAGUFULI katika wizara yake wafanyakazi wanalipwa mishahara mizuli na wanafanya kazi vizuri kwa mda mwafaka nakasema akiwa raisi atapandisha mishahara ila watu wafanye kazi haswa
Hakuna deni la Mwl ambalo halija lipwa..
ngoja nikupe darasa unaonekana hujui kitu.taarifa za madai ya walimu hutumwa na halmashauri kwenda wizarani kama List tu bila viambatanisho,hila linafanyika baada ya idara ya elimu halmashauri kuhakiki kwa kina kwa ushirikiano na CWT,hivyo kwa madai yasiyostahili hukataliwa kabla list haijaenda wizarani.Sasa hao waliosema madai ni famba wanapata wapi ujasiri huo wakati wanapokea list tu?kwa nini hawajarudisha taarifa halmashauri kujiridhisha kwa documents za maombi?walimu huu mwaka wenu chinja hawa c.cWalimu wanaidhalilisha sana utumishi wa umma.wanatoa taarifa za uongo ili kuiibia serikali.
mkuu huyo ni mtumishi wa Lumumba haelewi haya mambo.msameheUnachotaka kusema ni kuwa wizara ya magufuli wana schemes zao tofauti za mishahara tofauti na watumishi wengine wa umma?????
Mmmmmmmmh
Aisee nilivochukiaga sikutaka hata kuuliza hizo habari
sijui kama wapo waliotoa
naona jengo la maabara limesimama tu hakuna ujenzi
Mimi sio mtumishi wa umma wala nini, ila kwa uchungu mkubwa nilionao juu ya u jobless wangu huu hakika nitaipa kura ya ndio Chadema kupitia UKAWA.
Sioni jipya katika serikali iliyochoka ya CCM.