Watu wanaomlaumu Vicky Kamata, wanadhani Magufuli alipomtumbua Dkt Servacius Likwelile alimuacha na hela. Bila kujua alilelewa na Vicky

Katika Uongozi wa Awwmu ya tano, 13 Agosti 2016 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli alimtengua Dkt Servacius Likwelile, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango(sera) nafasi yake ikachukuliwa na Doto James.

19 Machi 2016 Vicky Kamata alifunga ndoa na Likwelile.

Watu wanajua alipotumbuliwa basi alikuwa na hela bila kujua Akaunti zote za Likwelile zilishikiliwa akarudi Nyumbani Mikono Mitupu.

Watu wanahisi sababu alikuwa Wizara ya Fedha basi alikuwa na Majumba ya kufa mtu. Hamna kitu.

Na Amshukuru Vicky kwa kumtia moyo na Kumpetipeti, angemuachs hata hiyo 29 Februari 2021 asingefika.

Likwelile hakuwa na biashara yoyote wala Kampuni yoyote aliyomiliki hadi alipomuoa Vicky.

Hata hiyo nyumba ya Mbweni sio kwamba Likwelile alijenga, bali ilinunuliwa wakati anaishi na Mtoto Vicky, Wakahamia

Hata huyo wanayedai ni Mie wa ndoa, hajui ilinunuliwa bei gani. Vicky alikuta Likwelile ni single father. Mama wa hawa watoto wanaomsumbua Vicky aliachana na Likwelile miaka mingi na akaoa mke mwingine tena ambae alikuwa anafanya nae kazi chuo kabla ya Vicky.

Huyo Mke wa pili wa Likwelile alifariki 2014 ndo akaolewa Vicky.

Sasa watoto wanataka kila kitu cha Vicky. Walitakiwa kumpenda sababu alipotumbuliwa na Magufuli, Vicky ndio aliendesha familia.

Vicky Kamata hana njaa. Tatizo watoto hawataki kumtambua as if alimkuta baba yao akiwa na mali.

Vicky yeye anapigania Nyumba aliyonunua na mumewe. Wao wanataka aondolewe akatange na njia. Hii haikubaliki.

Kama baba yao alikuwa na Mali, basi wazichukue na hakuna aliyewaingilia. Kwanini wanang'ang'ania malalio ya Vicky kama kweli pesa ipo?

Mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni. Watetezi wa wajane wapo wapi? Wanacha mtu anatukanwa na kudhalilishwa mtandaoni as if sio binadamu. Sipati picha Vicky asingekuwa Stable kiuchumi. Si ndo wangeanza kusema ni danga?

Kumbuka Vicky amekuwa mbunge kwq kipindi cha kutosha, ana kipaji cha uimbaji, ana kampuni zake na biashara zake ambazo anaendesha.

Vicky amekuwa anahimiza wanawake kufanya kazi ili kujikwamua kupitia wimbo wa "Wanawake na Maendeleo tufanye kazi".

View attachment 2755925
Naona umeamua kuja kujitetea na huku
Ila tulia zamu yako ya kuteseka
 
Haya mambo yanachanganya. Mwanamke wanadai ukikaa naye miezi sita pika pakua kashakua mke wako. Ukimuacha anakushitakia anashinda. Huku mtu wamekaa zaidi ya miaka 7, wanadai hawamtambui. Au sababu ya Mali?
Kwa sisi watu wa kawaida, ukikaa na mwanamke miezi miwili bila cheti cha ndoa ni mke halali akienda mahakamani kudai talaka mbona mtagawana hadi vijiko
 
Haya mambo yanachanganya. Mwanamke wanadai ukikaa naye miezi sita pika pakua kashakua mke wako. Ukimuacha anakushitakia anashinda. Huku mtu wamekaa zaidi ya miaka 7, wanadai hawamtambui. Au sababu ya Mali?
Mkuu hizo tetesi ni mfu kwenye sheria ya ndoa ya '71 inayotumika hivi sasa.

Mwanamke hata uishi naye kinyumba miaka100 bila ndoa inayoeleweka kisheria, siku ukifa mwanamke huyo hana haki yoyote.
 
Vicky ni demu wa kitown town.... amekuwa mbunge....

anafahamiana na watu wengi wakubwa kwenye sekta mbalimbali ikiwemo ya fedha....

Si ajabu alishafanya mchongo kitambo!!!..... Pesa zilizokuwa kwenye akaunti za mzee zikahamishiwa kwake
Mmmhhhh ..... Jamani punguzeni maneno..... Daaaaahhhhh😭🤣
 
Katika Uongozi wa Awwmu ya tano, 13 Agosti 2016 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli alimtengua Dkt Servacius Likwelile, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango(sera) nafasi yake ikachukuliwa na Doto James.

19 Machi 2016 Vicky Kamata alifunga ndoa na Likwelile.

Watu wanajua alipotumbuliwa basi alikuwa na hela bila kujua Akaunti zote za Likwelile zilishikiliwa akarudi Nyumbani Mikono Mitupu.

Watu wanahisi sababu alikuwa Wizara ya Fedha basi alikuwa na Majumba ya kufa mtu. Hamna kitu.

Na Amshukuru Vicky kwa kumtia moyo na Kumpetipeti, angemuachs hata hiyo 29 Februari 2021 asingefika.

Likwelile hakuwa na biashara yoyote wala Kampuni yoyote aliyomiliki hadi alipomuoa Vicky.

Hata hiyo nyumba ya Mbweni sio kwamba Likwelile alijenga, bali ilinunuliwa wakati anaishi na Mtoto Vicky, Wakahamia

Hata huyo wanayedai ni Mie wa ndoa, hajui ilinunuliwa bei gani. Vicky alikuta Likwelile ni single father. Mama wa hawa watoto wanaomsumbua Vicky aliachana na Likwelile miaka mingi na akaoa mke mwingine tena ambae alikuwa anafanya nae kazi chuo kabla ya Vicky.

Huyo Mke wa pili wa Likwelile alifariki 2014 ndo akaolewa Vicky.

Sasa watoto wanataka kila kitu cha Vicky. Walitakiwa kumpenda sababu alipotumbuliwa na Magufuli, Vicky ndio aliendesha familia.

Vicky Kamata hana njaa. Tatizo watoto hawataki kumtambua as if alimkuta baba yao akiwa na mali.

Vicky yeye anapigania Nyumba aliyonunua na mumewe. Wao wanataka aondolewe akatange na njia. Hii haikubaliki.

Kama baba yao alikuwa na Mali, basi wazichukue na hakuna aliyewaingilia. Kwanini wanang'ang'ania malalio ya Vicky kama kweli pesa ipo?

Mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni. Watetezi wa wajane wapo wapi? Wanacha mtu anatukanwa na kudhalilishwa mtandaoni as if sio binadamu. Sipati picha Vicky asingekuwa Stable kiuchumi. Si ndo wangeanza kusema ni danga?

Kumbuka Vicky amekuwa mbunge kwq kipindi cha kutosha, ana kipaji cha uimbaji, ana kampuni zake na biashara zake ambazo anaendesha.

Vicky amekuwa anahimiza wanawake kufanya kazi ili kujikwamua kupitia wimbo wa "Wanawake na Maendeleo tufanye kazi".

View attachment 2755925
Umeula wa chuya kwa uvivu wa kuchambua
 
Hamna kitu hapa. Vicky ni failed gold digger, hakuwahi kuolewa na Sirvacus Likwelile. Kama wewe Pfizer ni ndugu wa huyu malaya, mwambie kuwa akizidi kukomalia mali za watoto wa Likwelile tutamroga sisi wapogoro.
Kweli kabisa, Kaolewa kwa kufoji sehemu mbili,Cha Rita kafoji, Cha kanisa Arusha nabii kahojiwa kakana hakuna kitu Kama icho, wamemuone huruma angewekwa ndani kwa kufoji vyeti vya ndoa.
 
Haya Vicky tumesikia haya tuambie hizo mali zimeandikwa majina ya nani? Nyimba ya Mbweni, Nyumba na baa ya Mpiji magohe baa inayoitwa Beda Park imeandikwa jina gani? Shamba la ekari 9 na upuuzi vimeandikwa majina gani? Watoto wa mzee likwelile waliokuwa wanasoma Canada walikuwa wanalipiwq na nani?
Zina majina ya Katibu Mkuu.

Ingekuwa kuna majina ya mwanamke basi mwanamke asingehitaji ndoa (iwe halali, iwe feki) kupatiwa pasu yake.

Mfano, haka kadada kanakoishi na Tandale inajulikana hakana ndoa, wanaishi kihuni japo mwamba anapenda kujinasibu na usafi. Sasa sheria haiwazuii wachafu hawa leo hii kununua shamba au V8 lenye majina mawili, umiliki huu huitwa TENANCY lN COMMON, kila mtu ana dau lake ndani ya umiliki. Tandale akinyooka ghafla kama Mithun Chakraborty alivyonyooshwa Sinza na kale kabinti ka shule alikokuwa anaka molesti huwezi kukanyima kabinti pasu yake kwa vile eti hakakuwahi kuolewa.

Again, Raia wawili wowote wanaruhusiwa kumiliki mali kwa pamoja. Ndio maana PRESCRIBED FORM 19 ya kuombea umiliki wa eneo ina nafasi tatu za kujaza majina, na haiulizi waombaji mna mahusiano gani.
 
Viki mwizi yani ipo ivi alete. Ata kaunta book lenyw rekodi na risiti za manunuzi ya vituu vilivyjengea iyo nyumba, baba kamwoa mama then wakatengana tu kilocal mzee kaenda uko kavuta kabinti mali zote bado zitakuwa ni za ndoa ya mwanzo labda tu busara itumike
 
Back
Top Bottom