Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
Kama Vicky angekuwa anajiweza ningemshauri tu aachane na haya makesi, aishi maisha yake peaceful. Mali zenyewe za urithi baada ya miaka 5 watoto washazipiga bei na kununua zao masubaru ya kula bata mjini.
Pesa kweli mwanaharamu
Pesa kweli mwanaharamu