Watu wanane wafariki dunia kigogo buyuni wilayani ilala jijini dar baada ya kunywa gongo inayosadikiwa kuchanganywa na spirit pamoja na JIKI ili kuiongezea ukali.source:STAR TV HABARI.
Aisee hatareeeee,hayo ndio madhara ya serikali kutegemea walevi kuendesha nchi,wamepandisha bei ya biereee watu wanahamia kwenye machozi ya simba aka chang'aa aka kingwendu aka maji makali aka kachaso
Bia zimepanda bei, gongo na pombe nyingine za asili ni dili MAPATO YATASHUKA KWA KUKOSA KODI, KAMPUNI ZA BIA ZITAYUMBA...
Kwa taarifa yako: Gongo na uchuuzaji wa madawa ya kulevya ndio kitega uchumi kikuu cha wakazi wa Bonde la Mpunga na maeneo mengine yaliyoathirika na mafuriko, ndio maana wale watu waligoma kuhamia Mabwepande.
Mbona asubui Mganga Mkuu wa Amana alisema amepokea jumla ya watu8 waliokunya hiyo gongo yenye sumu kati yao 2 ndio waliofariki dunia, watatu wamelazwa wodini na watatu wameruhusiwa kurudi nyumbani baada ya kupatiwa matibabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.