Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
huwa nawasikiliza sana, hasa wasanii wetu na baadhi ya watangazaji. utawasikia wanasema, "hii nyimbo yako..." wanachanganya wingi na umoja hadi wanakera. waseme, "huu wimbo wako..." kitu "chengine" ni hilo neno. waseme kitu kingine. pia kuna neno, 'hichi' badala ya 'hiki'. watu wanakera sana. kuna mengine ili muwafundishe lugha hawa watu??