Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
JF kuna mbaba amefiwa na mwenzake some 2 years ago..ana watoto wakubwa age between 12-16 (three of them), wanamkataza huyo mbaba asioe...alipojaribu kuwa-introduce hiyo issue watoto hawataki??
mzee yuko between 45-56 years of age. hii imekaaje...vipi watoto siku hizi wana mamlaka..jamaa anampango wa kuwapeleka wote boarding schools wakirudi likizo wanamkuta mama yao mdogo..what do you think???
mzee yuko between 45-56 years of age. hii imekaaje...vipi watoto siku hizi wana mamlaka..jamaa anampango wa kuwapeleka wote boarding schools wakirudi likizo wanamkuta mama yao mdogo..what do you think???