kelvin.pcb
Senior Member
- Jan 2, 2013
- 175
- 21
hawa viongoz wanaonekana wana uchungu sana na TZ, ningependa kujua km watoto wao wanasoma shule za kata au la.
mnataka wasome hizi mlizoziharibu nyie? shule nzima ina mwalimu mmoja; darasa lina kitabu kimoja - CCM kweli ni janga.hawa viongoz wanaonekana wana uchungu sana na TZ, ningependa kujua km watoto wao wanasoma shule za kata au la.
hawa viongoz wanaonekana wana uchungu sana na TZ, ningependa kujua km watoto wao wanasoma shule za kata au la.
Khaaa!! kudadadadeki mshaanza kutafuta sababu hata kabla hatujawapa rungu. Kweli bango baaaado sana. Tutaliwa na kuliwa na kuliwa :disapointed:Then what? Nchi iharibiwe na CCM, lawama wapate watetezi wa maslahi ya Mtanganyika. Kweli Meya Ma------ alisema ukweli
hawa viongoz wanaonekana wana uchungu sana na TZ, ningependa kujua km watoto wao wanasoma shule za kata au la.
hawa viongoz wanaonekana wana uchungu sana na TZ, ningependa kujua km watoto wao wanasoma shule za kata au la.
shule zenyewe hazifai kusomesha watoto...eti m a s a b u ri primary school, kuna mtoto kusoma hapo?
wa kwangu hasomi shule ya kata, mimi si kiongozi ila ni mwanachama wa CDM.