Watoto wa mwarabu hoi!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Mwarabu mmoja(sayeed) kabla ya kufariki aliwaachia wosia wanawe watatu arkhad,khalfan na nadir kuhusu kugawana ngamia wake.alisema arkhad(first born) apate 1/2 ya ngamia wote,khalfan(second born apate 1/3 ya ngamia wote na nadir(last born) apate 1/9 ya ngamia wote.Baada ya kufariki,mzee sayeed aliacha ngamia 17..Watoto walijaribu kila jinsi kugawana lakini ikashindikana.Mzee jabir alipokuwa akipita na ngamia wake akiwa safarini,aliukuta mkanganyiko huo.Mzee jabir alitumia busara zake na kuwagawa vizuri kabisa wale ngamia 17 kwa watoto watatu na kwa ratio ile ile.Tuelezane,alifanyaje?(hint;makadirio ya desimali hayaruhusiwi!)
 
Hahaha...
Mzee Jabir alifanya hivi:
Aliwaongezea ngamia mmoja, jumla wakawa 18.
Then mahesabu yake yakawa hivi:
Arkhad: 1/2 ya ngamia wote=1/2*18=ngamia 9
Khalfan: 1/3 ya ngamia wote (KUMBUKA: sio ngamia walio baki)=1/3*18=ngamia 6
Nadir: 1/9 ya ngamia wote=1/9*18=ngamia 2
Ukijumlisha hapo unapata: 9+6+2=17
Kwa hiyo atabaki yule ngamia mmoja wa mzee Jabir, watamrudishia na wao watakuwa wamegawana kama baba yao alivyowaagizia!!!
Nawasilisha...
 
Hahaha...
Mzee Jabir alifanya hivi:
Aliwaongezea ngamia mmoja, jumla wakawa 18.
Then mahesabu yake yakawa hivi:
Arkhad: 1/2 ya ngamia wote=1/2*18=ngamia 9
Khalfan: 1/3 ya ngamia wote (KUMBUKA: sio ngamia walio baki)=1/3*18=ngamia 6
Nadir: 1/9 ya ngamia wote=1/9*18=ngamia 2
Ukijumlisha hapo unapata: 9+6+2=17
Kwa hiyo atabaki yule ngamia mmoja wa mzee Jabir, watamrudishia na wao watakuwa wamegawana kama baba yao alivyowaagizia!!!
Nawasilisha...
I accept it.
 
Back
Top Bottom