Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
kuna tatizo kwa wazazi/walezi wenye watoto ambao wanasoma baadhi ya shule za bweni.
Nina ndugu yangu yuko shule ya msingi mkoani morogoro std 3
katika hali ya kustaajabisha yeye na mwenzake wamekekutwa na mwl wakati kipindi kinaendelea wamepakatana ,baada ya kuhojiwa kwa monitress na class moniter wakasema ni mchezo wa kawaida kwao kupakatana na kupigana vidole makalioni.
Wakachukuliwa hadi ofisini kwa walimu kilichoendelea bado cjapata feedback.
my take wazazi na walezi shule za bweni ni nzuri ila tuwe makini na watoto wetu hususani hawa wadogo mambo wanayofanyiana vitendo vya kishoga.Usishangae mwanao anakuwa na tabia za kishoga.
Nina ndugu yangu yuko shule ya msingi mkoani morogoro std 3
katika hali ya kustaajabisha yeye na mwenzake wamekekutwa na mwl wakati kipindi kinaendelea wamepakatana ,baada ya kuhojiwa kwa monitress na class moniter wakasema ni mchezo wa kawaida kwao kupakatana na kupigana vidole makalioni.
Wakachukuliwa hadi ofisini kwa walimu kilichoendelea bado cjapata feedback.
my take wazazi na walezi shule za bweni ni nzuri ila tuwe makini na watoto wetu hususani hawa wadogo mambo wanayofanyiana vitendo vya kishoga.Usishangae mwanao anakuwa na tabia za kishoga.