Watoto hawapumziki ni kitabu tu, hii imezidi

sanalii

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,434
5,095
Mtoto kasoma mika saba, likizo anakua na tuition, amemaliza la saba, anakaa wiki tatu anarudi kambini tena kwa jina la pre-form one, wazazi watakaa na watoto wao muda gani? Hivi huko kwa wenzetu nako ni mchaka mchaka hivi hivi?
 
Ninachojua wenzetu huu ujinga hawana, sio nani alileta haya mambo. Mtoto hajapumzika hata kidogo anapelekwa pre form one, then shule zinafunguliwa, sijui nani anatuletea huu ujinga...na sisi tunaubeba kama ulivyo.

Sasa hivi kuna ile ya kumuanzisha mtoto class one akiwa 4-5yrs, mambo yamekuwa mengi sana.
 
Mada nzuri ila umekosea kuiwasirisha,title wambie mods waiediti,kiufupi eti serikali inataka watoto waanze kusoma tena wale waliomaliza darasa la saba

Ujumbe tulitumiwa walimu huu hapa
Wakuu wa Shule, tumepokea maelekezo toka kwa Katibu Tawala wa Mkoa kuwa tunatakiwa kuanza English Orientation Course tarehe 02.10.2023 kwa wanafunzi wote waliomaliza darasa la Saba 2023.

Haya ni maelekezo, kwahiyo Kila mmoja aandae mazingira ya kuwaweka wanafunzi hao.

Labda ninachoweza kupokea toka kwenu ni ushauri wa namna gani tufanye na tuanze muda gani.

Najua mko safarini lakini hebu tulijadili hili Ili niwape maelekezo ma AEK.

Wao nilishaambia kuhusu kuwaeleza Walimu Wakuu Maxence Melo tusaidie kuiweka vizuri heading ili wizara ya elimu ipige marufuku hili jambo kwani linawanyima watoto muda wa kupumuzia
 
Kwa wenzenu hawana mambo kama haya sababu wazazi hawana sauti juu ya watoto wao, ni kuplay video games na kuangalia Netflix.

In short kwa wenzenu ni worse zaidi.

Sent from my G011A using JamiiForums mobile app
 
Mtoto kasoma mika saba, likizo anakua na tuition, amemaliza la saba, anakaa wiki tatu anarudi kambini tena kwa jina la pre-form one, wazazi watakaa na watoto wao muda gani? Hivi huko kwa wenzetu nako ni mchaka mchaka hivi hivi?
Hakuna cha kupoteza yani ni kuharibu tu sababu wangu mimi niliye na mamlaka hapiti mfumo huo. Hali ndio inafanya watoto wenu wapitie magumu hayo.
 
Mada nzuri ila umekosea kuiwasirisha,title wambie mods waiediti,kiufupi eti serikali inataka watoto waanze kusoma tena wale waliomaliza darasa la saba

Ujumbe tulitumiwa walimu huu hapa
Wakuu wa Shule, tumepokea maelekezo toka kwa Katibu Tawala wa Mkoa kuwa tunatakiwa kuanza English Orientation Course tarehe 02.10.2023 kwa wanafunzi wote waliomaliza darasa la Saba 2023.

Haya ni maelekezo, kwahiyo Kila mmoja aandae mazingira ya kuwaweka wanafunzi hao.

Labda ninachoweza kupokea toka kwenu ni ushauri wa namna gani tufanye na tuanze muda gani.

Najua mko safarini lakini hebu tulijadili hili Ili niwape maelekezo ma AEK.

Wao nilishaambia kuhusu kuwaeleza Walimu Wakuu Maxence Melo tusaidie kuiweka vizuri heading ili wizara ya elimu ipige marufuku hili jambo kwani linawanyima watoto muda wa kupumuzia
Litawezekana vipi wakat watu wamemalza shule na wameondoka
 
Sema nin, sometimes watoto wasome tu, tukiwaacha mitaani ndo wanaingia kwenye makundi mabaya, uzuri pre form one wanasoma kwa kurelax, watoto waende tu wasome,
Duniani hakuna kupumzika, tutapumzika tukifa, na hio ipo nchi zote,

nenda Asia uone watoto wanavyosoma kama machizi na matokeo watoto wanajua kuwa duniani ni kazi sio kupumzika ovyo ovyo, na ndo mana watu wake wanafanya kazi sana, sasa ukishawazoesha watoto kula bata na kupumzika sana then wanafika miaka 22 ndo unataka waanze kuwa wachapakazi ni haiwezekani simply
 
Ninachojua wenzetu huu ujinga hawana, sio nani alileta haya mambo. Mtoto hajapumzika hata kidogo anapelekwa pre form one, then shule zinafunguliwa, sijui nani anatuletea huu ujinga...na sisi tunaubeba kama ulivyo.

Sasa hivi kuna ile ya kumuanzisha mtoto class one akiwa 4-5yrs, mambo yamekuwa mengi sana.
Shule Kama st Francis's ya mbeya haina haya mambo na matokeo Yao ni safi kabisa.

Ingawa pia inategemea kuna mazingira tunawalea watoto heri waendelee kukaa boding huko maybe watakuwa safe
 
Back
Top Bottom