NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Kilakukicha Dar es salaam kuna maghorofa yanajengwa
Ukiangalia utasema sasa hali ya nyumba dar inakuwa nzuri.
Tatizo hayo majumba hayapangiki na Mtanzania wa kawaida bei ya kodi si chini ya dola 1500-na kuendelea.
Je nilengo la hawa wenye nyumba kuwaondoa wazawa mjini?
Ukiangalia utasema sasa hali ya nyumba dar inakuwa nzuri.
Tatizo hayo majumba hayapangiki na Mtanzania wa kawaida bei ya kodi si chini ya dola 1500-na kuendelea.
Je nilengo la hawa wenye nyumba kuwaondoa wazawa mjini?