Jamani, nashauri tuanze kupiga kampeni kwa njia zote.
Siku ni chache, kila mtu pale alipo awajibike.
Message kutoka Finland ziliwafikia watu wengi. Tusipuuze madhara yake, nashauri tufanya kuzuia madhara au kujenga imani kwa Watanzania zaidi.
" Chagua Chadema, Chagua Dk Slaa kwa Amani,Maendeleo, na Mshikamano. Bei za bidhaa muhimu kama sukari, mafuta ya kupikia, vifaa vya ujenzi vitapungua bei. Pia Elimu ni Bure, Afya Bure na barabara za vijijini zitaimarishwa. Inawezekana kwa sababu Madini yetu hayataibwa na mafisadi, Mapato ya utalii,viwanja vya ndege na bandari yatatumiwa vyema,serikali ya chadema itaepuka matumizi ya anasa kama mashangigi ya Mawaziri, na wakuu wa mikoa/wilaya. Chagua Slaa, chagua Chadema"
Huyo ni ujumbe mzuri kabisa hauna matata.
Siku ni chache, kila mtu pale alipo awajibike.
Message kutoka Finland ziliwafikia watu wengi. Tusipuuze madhara yake, nashauri tufanya kuzuia madhara au kujenga imani kwa Watanzania zaidi.
" Chagua Chadema, Chagua Dk Slaa kwa Amani,Maendeleo, na Mshikamano. Bei za bidhaa muhimu kama sukari, mafuta ya kupikia, vifaa vya ujenzi vitapungua bei. Pia Elimu ni Bure, Afya Bure na barabara za vijijini zitaimarishwa. Inawezekana kwa sababu Madini yetu hayataibwa na mafisadi, Mapato ya utalii,viwanja vya ndege na bandari yatatumiwa vyema,serikali ya chadema itaepuka matumizi ya anasa kama mashangigi ya Mawaziri, na wakuu wa mikoa/wilaya. Chagua Slaa, chagua Chadema"
Huyo ni ujumbe mzuri kabisa hauna matata.