Nasikia kuna vitendo vya manyanyaso sana kwa wabongo wanaoingia Msumbuji hasa kutoka kwenye vyombo vya serikali (Polisi na uhamiaji) na hata raia wa msumbiji pia lakini vice-versa is true, Nakutana nao kibao mtwara wanasema wamekuja kutalii bila bugudha yeyote.Huu urafiki ni urafiki wa kinafiki ni vyema serikali ikaliangalia hili upya kwa kupeleka malalamiko yao kwa serikali ya msumbiji.
R.I.P my fellow citizens.
Poleni sana wafiwa kwa kupoteza wapendwa wenu muhimu.
Ila chakusikitisha dhahabu tele wameiacha nyumbani huku wageni wakiifaidi. Tunahangaika sana watanzania wa hali ya chini kutafuta riziki ilihali watu wachache wanaishi kama wako peponi