Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

Kuna mwengine alipanda daladala akasifiwa sana kwa kitendo kile.

Ongezea na kunywa uji kwa mama ntilie na maji ya viroba. Yule fisadi Lowassa nilitamani kweli angeenda kulala hata siku moja pale Segerea. Sijui kwanini aliogopa😅😅
 
Tatizo mmeanza kumfuatilia magufuli baada ya kugombea urais, ulizeni waliofanya naye kazi huko mawizarani mtaambiwa siri ya mafanikio ya utendaji wake
Kifupi ni mzee wa site, si wa kusubiri kuletewa ripoti ofisini
 
Nani ana mvuto wa urais? Lowassa! Yule anayejinyea? Yule ambae kupanda ngazi mpaka ashikwe makalio? Yule ambae mke wake amepigwa dole na mmoja wa vijana wa UKAWA baada ya kuiva kwa viroba?

Mmmh! Ikiwa mtu wa aina hiyo ndio angekuwa rais, basi ningeomba uraia wa Somalia kama sio Burundi. Bora nikapigwe risasi tu kuliko kuongozwa na mgonjwa, fisadi na mtu anayejinyea hovyo.

Wewe si ukuwa shbiki nama ma wa Lowasa? ahta alipoham ulimfuata Chadema? Na ulikuwa unatoa nyuzi nyingi za kutokubakliana na wale wanaomsema vibaya? Umebadilika lini?
 
Naelekea kukufananisha na ng'ombe akili yako.

Bila kufika muhimbili angejuaje kuwa kunawagonjwa hawajapata matibabu zaid ya miez miwili?
Angejuaje kama hakuna vifaa kwaajili ya vipimo?

Angejuaje kuwa wafanyakaz wa hazina wanaenda kunywa chai zaid ya masaa 3?

Acha unafik wa kijinga kama inakukera jinyonge utupunguzie idadi ya wajinga

Hivi nikweli magufuli hajawahi fika Muhimbili ktk maisha yake yote hajui wala hajawahi sikia habari za MOI? inawezekana hujamwelewa mtoa mada. Mtoa mada anatutaka tuwe na analytical thinking, deep and broad understanding na sio kukurupuka na kuanza kutoa misifa, kaa angalia mwelekeo, msome mtu usilete ushabiki wa kisiasa mtaendelea kupigwa dont play with politicians because they real know how to play with your mindset.

Minadhani wewe ndo mnafiki na mjinga namba moja na kibaya zaidi hujielewi kwamba uko hivyo na watu wa aina hii hata bata anaweza kuwatawala
 
Wewe si ukuwa shbiki nama ma wa Lowasa? ahta alipoham ulimfuata Chadema? Na ulikuwa unatoa nyuzi nyingi za kutokubakliana na wale wanaomsema vibaya? Umebadilika lini?

Ndio ujue sasa Lowassa hana marafiki wa kweli. Nilikuwa kwa Lowassa kwa sababu ya pesa zake za ufisadi. Nilikuwa narudisha fedha za RICHMOND kwa wananchi. Wewe hujui lolote kuhusu Lowassa. Hivi ujiulizi kwanini Msukuma, Bashe, Madabida na Karamagi hawakumfuata Lowassa huko CHADEMA? Na hujiulizi kwanini walikuwa wakisema haya haya ninayo kuambia hapa kuhusu ufisadi wake, magonjwa yake na kujinyea kwake huyo Lowassa pindi walipokuwa majukwaani wakati wa kampeni?

Mbowe na Bashe nani anamjua zaidi Lowassa? Sasa ikiwa Bashe anamkataa Lowassa kwa kusema kuwa ni fisadi, mgonjwa na anajinyea...wewe au Mbowe ni nani mbishe? Huyo Mbowe ni nani abishe? Ukiwa CHADEMA haimaanishi uwe mbumbumbu kwenye kila kitu. Kama kusoma huwezi, basi tazama tu. Ukweli upo nje nje.
 
Naelekea kukufananisha na ng'ombe akili yako.

Bila kufika muhimbili angejuaje kuwa kunawagonjwa hawajapata matibabu zaid ya miez miwili?
Angejuaje kama hakuna vifaa kwaajili ya vipimo?

Angejuaje kuwa wafanyakaz wa hazina wanaenda kunywa chai zaid ya masaa 3?

Acha unafik wa kijinga kama inakukera jinyonge utupunguzie idadi ya wajinga

Haya mambo yanatajwa kwenye tv,magazeti, mitandao(pamoja na ushahidi wa picha) kila kukicha. Sema jengine.
 
Nani ana mvuto wa urais? Lowassa! Yule anayejinyea? Yule ambae kupanda ngazi mpaka ashikwe makalio? Yule ambae mke wake amepigwa dole na mmoja wa vijana wa UKAWA baada ya kuiva kwa viroba?

Mmmh! Ikiwa mtu wa aina hiyo ndio angekuwa rais, basi ningeomba uraia wa Somalia kama sio Burundi. Bora nikapigwe risasi tu kuliko kuongozwa na mgonjwa, fisadi na mtu anayejinyea hovyo.

Umetumia mkundu kuandika huu utumbo sio mbona lile dole niliona umepigwa wewe usilete ushoga apa kafilwe lumumba uko fyuuu
 
Taatizo ni kwamba uliyemtegemea uje umsifie, kadoda, that's why you are coming here negatively
 
Hivi nikweli magufuli hajawahi fika Muhimbili ktk maisha yake yote hajui wala hajawahi sikia habari za MOI? inawezekana hujamwelewa mtoa mada. Mtoa mada anatutaka tuwe na analytical thinking, deep and broad understanding na sio kukurupuka na kuanza kutoa misifa, kaa angalia mwelekeo, msome mtu usilete ushabiki wa kisiasa mtaendelea kupigwa dont play with politicians because they real know how to play with your mindset.

Minadhani wewe ndo mnafiki na mjinga namba moja na kibaya zaidi hujielewi kwamba uko hivyo na watu wa aina hii hata bata anaweza kuwatawala

Magufuli hakuwa waziri wa afya. Sasa ni rais. Kila kitu kimepewa dhamana yake. Je, kuna ubaya kwenda kupata maelezo kutoka kwa watumiaji wa huduma pale Muhimbili. Binafsi sioni tatizo katika hilo. Actually ni jambo jema sana. Pia Kwenda kwake Muhimbili hakuzuii mambo mengine kufanyika. He's energetic. Atafanya hayo yote yaliyopendekezwa hapo kwenye uzi kama ambavyo aliahidi majukwaani. Tumpe nafasi na tumuunge mkono. Kumuombea ashindwe usitegemee yeye ataumia peke yake, bali WaTanzania wote tutaumia tu. Tena sisi ndio tutaumia zaidi. Maana at the end, yeye atakula mshahara wake wa urais and all the related benefits. Hivyo vyema kumuombea kwa Mungu hii kasi yake aendelee nayo ili tufaidike Watanzania wote. Bila kujali itikadi zetu.
 
Cijapenda maneno yako ndugu yangu,,,,,,tuwe na stahaaa sote tu binadamu kwa nini kuzalilishana kwa maneno kama hayo?
 
Yaani kwa kweli mi ninapoangalia hali ya uchumi wa Tanzania, maisha duni ya wafanyakazi, ukisefu wa ajira ukosefu, wa maji safi ni salama karibia nchi nzima!

Namshangaa sana mtu anayemshabikia Mr Pombe kutembea na vyombo vya habari kwenye maofisi!

Kwanza jiulize huko kote alikovamia amehoreshaje mazingira ya utendaji wa wafanyakazi ili kuwapa morally ya kufanya kazi?

Hizi sio zama za dictatorship style ni zama za democratic leadership ambapo ku win minds za wafanyakazi ni kuwatendea vile inavyopasa na sio kuwakimbiza na viboko.

Tanzania tunahitaji kuona wanafunzi wa vyuo vikuu wanapata mikopo yao kwa ufasaha na kwa utoshelevu.

Tunahitaji kuona wafanya biashara wadogowadogo wakiboreshewa mazingira ya kazi..mfano mama ntilie na bodaboda na machinga,

Tunahitaji kuona wakulima ambao ndo uhai wa Taifa wakiboreshewa zana za kilimo na mbolea.

Tunahitaji kuona michakato ya viwanda ikianza.

Tunahitaji kuona waalimu wakiimarishiwa mishahara yao pamoja na kulipwa malimbikizi yao.

Tunahitaji kuona jiji la Dar likiokolewa kuondoka na uchafu unaosababisha vifo vya watanzania kila kukicha.

Nina mengi sana lakini ngoja nitulie kwanza, hebu jiulize vijana hawana ajira iko wapi mikakati ya viwanda?

Huko Muhimbili mkurugenzi anasimamishwa kazi wakati tunaona madactari wanagoma kwa mishahara duni iko wapi mikakati ya kuwaboreshea mishahara yao ili kuwapa ari ya kufanya kazi?

Mi nadhani cha kufanya kwa sasa kuboresha kwanza mazingira ya kazi alafu kazi ya usimamizi itakua nyepesi.

" Ukitaka Punda akubebee mzigo vizuri bila kipigo mpe majani na maji ashibe"

Tatizo la maoni yako ni upeo mdogo wa kufikiri. Wewe unaamini kuwa kuna single intervention ambayo inaweza kutatua matatizo mengi ya kijamii uliyoorodhesha hapo juu, kuboresha mazingira ya kazi. Lakini uhalisia hauoneshi hivyo. Baadhi ya matatizo mengi ya nchi hii yanatokana na viongozi na watendaji kutowajibika ipasavyo na matumizi mazuri ya fedha z umma na sio mazingira ya kazi.
Labda nikuulize, kusafiri Business class na Emirates kwa mtumishi wa serikali ni mazingira mabovu ya kazi?
 
Mie nadhani tusubiri baraza la mawaziri litakapoteuliwa...kwasasa alikuwa anajaribu kuwajenga wafanyakazi wa umma na kukagua utendaji wa taasisi za serikali ili hata mawaziri wanaokuja waweze kusimama ktk misingi hiyo kiutendaji....Alikuwa anajaribu kuwaonyesha hata mawaziri watakaoteuliwa jinsi anavyotaka kazi waifanye....wawe wafatiliaji ktk wizara zao....Nategemea mikakati mingi itaanza kufanya kazi pale ambapo baraza la mawaziri na bunge litakapoanza kazi
 
Yaani kwa kweli mi ninapoangalia hali ya uchumi wa Tanzania, maisha duni ya wafanyakazi, ukisefu wa ajira ukosefu, wa maji safi ni salama karibia nchi nzima!

Namshangaa sana mtu anayemshabikia Mr Pombe kutembea na vyombo vya habari kwenye maofisi!

Kwanza jiulize huko kote alikovamia amehoreshaje mazingira ya utendaji wa wafanyakazi ili kuwapa morally ya kufanya kazi?

Hizi sio zama za dictatorship style ni zama za democratic leadership ambapo ku win minds za wafanyakazi ni kuwatendea vile inavyopasa na sio kuwakimbiza na viboko.

Tanzania tunahitaji kuona wanafunzi wa vyuo vikuu wanapata mikopo yao kwa ufasaha na kwa utoshelevu.

Tunahitaji kuona wafanya biashara wadogowadogo wakiboreshewa mazingira ya kazi..mfano mama ntilie na bodaboda na machinga,

Tunahitaji kuona wakulima ambao ndo uhai wa Taifa wakiboreshewa zana za kilimo na mbolea.

Tunahitaji kuona michakato ya viwanda ikianza.

Tunahitaji kuona waalimu wakiimarishiwa mishahara yao pamoja na kulipwa malimbikizi yao.

Tunahitaji kuona jiji la Dar likiokolewa kuondoka na uchafu unaosababisha vifo vya watanzania kila kukicha.

Nina mengi sana lakini ngoja nitulie kwanza, hebu jiulize vijana hawana ajira iko wapi mikakati ya viwanda?

Huko Muhimbili mkurugenzi anasimamishwa kazi wakati tunaona madactari wanagoma kwa mishahara duni iko wapi mikakati ya kuwaboreshea mishahara yao ili kuwapa ari ya kufanya kazi?

Mi nadhani cha kufanya kwa sasa kuboresha kwanza mazingira ya kazi alafu kazi ya usimamizi itakua nyepesi.

" Ukitaka Punda akubebee mzigo vizuri bila kipigo mpe majani na maji ashibe"
Hayo yote uliyoyaorodhesha yanawezekana kwa waliokabidhiwa dhamana kuwajibika .ebu kumbuka kwa utawala uliopita ni ngazi ipi amri zake zilitekelezwa ,si waziri,bunge hata rais hakuna aliyezingatia ni kulalamika tu toka rais hadi raia.ziara zake ni muhimu na ziambatane na hatua kama muhimbili kutoa ujumbe kwa wote nini anataka.watu hawajali wajibu wao wanajifikiria wao .rais akiwa dhaifu na serikali yote.namuomba rais pia apige marufuku ziara zisizo na tija katika halmashauri.
 
H.T.P,

Watanzania no watu wa mihemko na ushabiki, manmbo yote ya kininga, ajabu and the like ndiyo hupata headlines na kupewa promo, na huku mtaani hushabikiwa bila kutambua shida hasa ni nini.
 
Last edited by a moderator:
Mawazo mengine huwa sikubalini nayo kabisa! Mtu akifanya jambo jema, anastahili kupewa pongezi zake wakati ule ule! Tusisubiri mpaka mtu amefariki ndiyo tuanze kumsifia kwa hiki na kile alichofanya wakati wa uhai wake! Kwenye misiba ndiyo utasikia sifa kem kem zinamwagwa badala ya kuzitoa wakati bado yupo hai! Rais wetu lazima apongezwe sasa na sio wakati mwingine!
 
Maigizo ya magufuli ni kujaribu kuwin akili za watanzania. Anajua hapendwi na hana mvuto wa urais. Kwa hiyo haya maigizo ni mwendelezo uleule wa mambo ya Kinana. Subiri uone. hafiki popote. Huwezi kuwin utendaji bora kwa watumishi kwa kuwatisha. n akuwavamia ghafla> JE ATAKUWA ANAVAMIA MUHIMBILI KILA SIKU ILI KUHAKIKISHA WATU WANAFNYA KAZI? hAYA NI MAMBO YA KIZAMANI!

humpendi wewe ila sio sisi wengne. Sisi tunajua utendaji wake na ndio maana tulimchagua nyinyi hapo mnaendekeza chuki huku mkiombea ashindwe lakn hamjui kuiwa mnajisumbua hayo machuki yenu na maombi mabaya yatawatafuna nyinyi wenyew na msanii wenu lowassa
 
Hivi nikweli magufuli hajawahi fika Muhimbili ktk maisha yake yote hajui wala hajawahi sikia habari za MOI? inawezekana hujamwelewa mtoa mada. Mtoa mada anatutaka tuwe na analytical thinking, deep and broad understanding na sio kukurupuka na kuanza kutoa misifa, kaa angalia mwelekeo, msome mtu usilete ushabiki wa kisiasa mtaendelea kupigwa dont play with politicians because they real know how to play with your mindset.

Minadhani wewe ndo mnafiki na mjinga namba moja na kibaya zaidi hujielewi kwamba uko hivyo na watu wa aina hii hata bata anaweza kuwatawala

nyumbu utawajua tu. Mtapasuka mwaka huu. Kama unaona magufuli hafai mlete babaako basi
 
Back
Top Bottom