MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Wananchi wenzangu pasipo kujali itikadi za vyama tuwe wamoja na kuunga mkono serikali iliyopo madarakani, tufanye maandalizi ya nguvu katika kuelekea tarehe 9, Disemba 2011. Wana CDM tuwe mstari wa mbele kusherekea miaka 50 ya uhuru, tuandae magwanda yetu tuende tukalale uwanja wa UHURU tarehe 8, Disemba 2011. CDM tumefaidika na uhuru wa nchi hii kupitia uongozi imara wa CCM ambao unapatia ruzuku kila mwezi ambayo inatuwezesha kumlipa milioni 12 za kitanzania kila mwezi Dr. Slaa pasipo kukatwa kodi. HIMA, HIMA, CDM twendeni kushiriki sherehe za uhuru miaka 50!!!!