STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Wana JF,
Nina sababu kwa nini nasema tuachane na Kura ya Siri, bali tupige kura ya Wazi.
1. Kwanza itapunguza Rushwa kwenye Uchaguzi.
2. Tuatapungaza sana Vilaza kwenye uwakilishi wa Wananchi, mfano jana nilifuatilia mchakato wa kujieleza tangu mwanzo hadi mwisho na nilitegemea ushauri wa Dr Mwakyembe ungezingatiwa.
3. Kuwafanhamu hawa watu ambao huwa wanaharibu kura, ni jambo la kusikitisha wabunge wanaharibu kura 16, hao tungeenda hata kuwapinga mahakamani kwa kupoteza uwakilishi wa majimbo yao na watu wao wanaowawakilisha.
4. Tutapunguza wizi wa Kura na Kesi za kupinga matokeo maana hukumu inakuwa wazi kwa upande wa wananchi.
Najua CCM watalipinga sana hili kwa kusema hakuna mfumo kama huo duniani, lakini kwa tulikofikia unafaa.
Nina sababu kwa nini nasema tuachane na Kura ya Siri, bali tupige kura ya Wazi.
1. Kwanza itapunguza Rushwa kwenye Uchaguzi.
2. Tuatapungaza sana Vilaza kwenye uwakilishi wa Wananchi, mfano jana nilifuatilia mchakato wa kujieleza tangu mwanzo hadi mwisho na nilitegemea ushauri wa Dr Mwakyembe ungezingatiwa.
3. Kuwafanhamu hawa watu ambao huwa wanaharibu kura, ni jambo la kusikitisha wabunge wanaharibu kura 16, hao tungeenda hata kuwapinga mahakamani kwa kupoteza uwakilishi wa majimbo yao na watu wao wanaowawakilisha.
4. Tutapunguza wizi wa Kura na Kesi za kupinga matokeo maana hukumu inakuwa wazi kwa upande wa wananchi.
Najua CCM watalipinga sana hili kwa kusema hakuna mfumo kama huo duniani, lakini kwa tulikofikia unafaa.