pansophy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 502
- 320
Tanzania ina rasilimali lukuki ingawa bado tu masikini wakutupwa, tunabembelezwa kwa kuambiwa uchumi wetu unakua kwa kasi ingawa faida haionekani kwa sisi Watanzania wa kipato cha chini tulio wengi. Tatizo haswa ni nini, ubinafsi(rushwa),kutokuwa wazalemdo,ujinga(lack of education) au.......?? Tuelimishane wapendwa