Watanzania tatizo la Tanzania ni nini?

pansophy

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
502
320
Tanzania ina rasilimali lukuki ingawa bado tu masikini wakutupwa, tunabembelezwa kwa kuambiwa uchumi wetu unakua kwa kasi ingawa faida haionekani kwa sisi Watanzania wa kipato cha chini tulio wengi. Tatizo haswa ni nini, ubinafsi(rushwa),kutokuwa wazalemdo,ujinga(lack of education) au.......?? Tuelimishane wapendwa
 
Mytz wewe umethubutu? Au na wewe ni walewale Wakwere. To dare is to do mpwa
 
Tanzania ina rasilimali lukuki ingawa bado tu masikini wakutupwa, tunabembelezwa kwa kuambiwa uchumi wetu unakua kwa kasi ingawa faida haionekani kwa sisi Watanzania wa kipato cha chini tulio wengi. Tatizo haswa ni nini, ubinafsi(rushwa),kutokuwa wazalemdo,ujinga(lack of education) au.......?? Tuelimishane wapendwa

Na kwanini unabaki kuwa Mtanzania wa kipato cha chini? kuna fursa chungu nzima za kukufanya ujiendeleze kwani unangoja uletewe mifuko ya fedha?

Sasa hivi unafanya kazi ipi? una kisomo kipi? unaishi wapi? una umri gani? nijibu hayo maswali nikupe mawazo ya kukutoa kwenye kipato cha chini.
 
Naona wanichimba, nazungumza kwa niaba ya Watanzania walio wengi. Bk to me ni self employed kwenye IT industry, pia nimebahatika kupata MSc SBIT. Ntashukuru msaada wako Mh FaizaFox
 
Sasa 2tajikomboaje, maujuzi yatakujaje? Radio nyingi channel chache. Wengine 2namaujuzi but hatupendi kulaliwa, elimu haiozi
 
hilo swali aliulizwa mzee wa kaya a.k.a baba riz huko ughaibuni akajibu nae hafahamu kwa nini watanzania ni maskini
 
Na kwanini unabaki kuwa Mtanzania wa kipato cha chini? kuna fursa chungu nzima za kukufanya ujiendeleze kwani unangoja uletewe mifuko ya fedha?

Sasa hivi unafanya kazi ipi? una kisomo kipi? unaishi wapi? una umri gani? nijibu hayo maswali nikupe mawazo ya kukutoa kwenye kipato cha chini.


Naomba unipe maujanja sister. Nipo wilaya ya Siha, Kilimanjaro. Nina 1st degree ya social science na Ms degree ya Enterpreneurship zote za Mlimani. Nimemaliza mwaka jana na hadi leo sina kazi hadi sasa! Nimetuma application hadi nimeishiwa. Wazazi ni wakulima na hawana uwezo wa kunipa mtaji. Nifanyeje?
 
kuna simulizi kuwa 'mzungu' wa kwanza kufika Mwadui alikuta wananchi wa pale wanacheza bao (?) kwa kutumia almasi na ndio akawaahidi kuwaletea 'kete' nzuri zaidi endapo wangemkusanyia almasi zaidi, then akawaletea za plastic.
kama umewahi kusoma hiyo 'story' ambayo inafanana na nyingine nyingi, jiulize ni miaka mingapi imepita na ni mabadiliko gani yametokea kwa hawa watu na vizazi vyao!? Je, haifanani na mtu anayechukua suti kwa kubadilishana na mbuga za wanyama? ...land cruiser kwa kubadilishana na shirika la ndege? ...nyumba (ghorofa moja) kwa kubadilishana na hekta 700,000 za ardhi yenye rutuba?
Ukipata majibu ya haya maswali then uangalie kuanzia wakati huo ni watu wangapi walikuwa hawana elimu na sasa wamesoma (graduates/doctorates), na ujue kuwa Watanzania tulio wengi kila siku tunaamka na kwenda 'kazini' lakini mambo ni yale yale!
Suluisho ni sote kuwa na vision ...kama mtu mmoja mmoja na baadae tuziunganisha ziwe za group zima la Watanzania (za pamoja).
Tanzania ina rasilimali lukuki ingawa bado tu masikini wakutupwa, tunabembelezwa kwa kuambiwa uchumi wetu unakua kwa kasi ingawa faida haionekani kwa sisi Watanzania wa kipato cha chini tulio wengi. Tatizo haswa ni nini, ubinafsi(rushwa),kutokuwa wazalemdo,ujinga(lack of education) au.......?? Tuelimishane wapendwa
Na kwanini unabaki kuwa Mtanzania wa kipato cha chini? kuna fursa chungu nzima za kukufanya ujiendeleze kwani unangoja uletewe mifuko ya fedha?

Sasa hivi unafanya kazi ipi? una kisomo kipi? unaishi wapi? una umri gani? nijibu hayo maswali nikupe mawazo ya kukutoa kwenye kipato cha chini.
 
Back
Top Bottom