jaywacnza
JF-Expert Member
- Sep 15, 2012
- 998
- 1,151
Paschal alikua anatumia njia ya jicho la tatu kufikisha ujumbe kinyumenyume. Mwisho wa siku nae kawa teja hisia zimemgonga sasa yupo realy anatafuta maslahi fulani.Binafsi nimemwelewa ..mwenye kusoma kwa jicho pevu ataelewa!!hapa ni kebehi kwa bashite na Bwana Yule
Kwenye mada hii paschal mshindi, magufuli akimtumbua makonda atasema niliandika kwa wenye uelewa wa jicho la tatu ni aina fulani ya shinikizo. Hasipomtumbua atasema si niliwaambia Makonda a.k.a bashite hana makosa, vetting ilifanyika na ana vyeti halali.