Watanzania na ustaarabu wa chooni...

Hapo kwenye malezi na 'attitude' ndo mpango mzima. Kijijini kwetu vyoo vya shimo ni visafi ajabu. Toka enzi nikiwa mdogo, unakuta watu main house sakafu haina cement bt chooni ipo,imesuguliwa haswaa japo ukuta umepandishwa wa udongo (unapigwa niru ya chokaa ama majivu. Kila siku asubuhi kazi ya mabinti kuzoa jivu kwenye mafiga na kwenda kumwaga chooni. Walijua inapunguza harufu na kuua inzi na wale wadudu wadogo.
Shule ya sec nimesoma,vyoo vya kukaa. J1 kuna ukaguzi wa mwl wa zamu na viranja. Tutasugua na majivu vinang'aa kama vipya! Kuna siku nilisimama kuingia toilets za mizani ya chalinze ile mpya. Haina hata 2 yrs. Kuna layer ya njano inakaribia weusi. Eti kuna msafishaji analipwa. Kweli wamama na wadada wanaofanya hapo mizani nyumbani kwao kutakuaje? Manake mie ningekua adui wa kwanza wa msafishaji ati! Hata afukuzwe kazi sitojali as long as hafanyi kazi yake sawasawa!
Cjui kama umenisoma mpendwa! Sijazungumzia rangi au utaifa..nisome tena vizuri unifahamu.Ukija kwenye public toilets ulimwenguni ni kweli zinakuwa chafu - KAMA HAZINA USIMAMIZI.
Je inakuwaje kwenye nyumba za baadhi ya watu tena wasomi wenye vyeo vyao huwezi kuthubutu kuingia vyooni mwao!
 
Tatizo kubwa ni kwenye highways. Hakuna toilets za public. Sasa huko msituni ukikutana na za mwenzio sijui inakuaje! Ila nadhani this is got something to do with the texture of our skin

Iko siku msafiri atang'atwa na nyoka makalioni wakati wa uchimbaji dawa maporini
 
Kuna mtu kaninong'oneza ati watu wengine huvua nguo zote wakaziacha nje
kabla ya kuingia chooni maana akiingia nazo atatoka kama kajifukiza
lol!
Kweli "siasa" za vyoo!

Duuh! Umenikumbusha maisha ya JKT kwenye kambi ya Masange Tabora. Nilikuwa sijawahi kukutana na choo chenye harufu kali na mbaya kama vyoo nilivyovikuta pale na kama ilikuwa sharti uvue Tshirt and Bukta kabla ya kuingia chooni kwani harufu iliyokuwa ikitoka ndani ya mashimo ilikuwa haivumiliki na ilikuwa iking'ang'ania kwenye nguo. Sijawahi tena kukutana na choo kama kile. Na mbaya zaidi kilikuwa ni choo chenye mashimo kadhaa halafu hakuna kuta za kuzuia kila tundu kwa ajili ya faragha ya watumiaji. Kwa hiyo ulikuwa ukiingia unakuta watu kadhaa wakiendelea na shughuli pevu kama kawaida. Katika mambo ambayo yalinifanya niichukie JKT mpaka leo hili la choo nalo lilikuwa mojawapo.
 
Eti ,umeingia chooni na kukuta mtu amekata gogo pembeni ya choo muda mfuppi uliopita!!unafikiria na unaamua kuahirisha zoezi la kujisaidia!!ukiwa unatoka,mara mlangoni unakutana na yule mtu(msichana mrembo/mwanaume handsome) unayemtamani siku zote hapo mtaani kwenu,anataka kuingia chooni.je utafanyaje?
 
Eti ,umeingia chooni na kukuta mtu amekata gogo pembeni ya choo muda mfuppi uliopita!!unafikiria na unaamua kuahirisha zoezi la kujisaidia!!ukiwa unatoka,mara mlangoni unakutana na yule mtu(msichana mrembo/mwanaume handsome) unayemtamani siku zote hapo mtaani kwenu,anataka kuingia chooni.je utafanyaje?
Mzee hii ya leo kali. Itabidi nipige about turn fasta ili nikalisokomeze hilo gogo kunako sehemu-pamoja na kwamba mzigo wenyewe siyo wangu!!!. Eeeee sina jinsi.
 
Mzee hii ya leo kali. Itabidi nipige about turn fasta ili nikalisokomeze hilo gogo kunako sehemu-pamoja na kwamba mzigo wenyewe siyo wangu!!!. Eeeee sina jinsi.
sasa ndo ukute na yeye amebanwa kiasi kwamba hadi anatembea kwa shida.....utamsaidiaje?
 
ntamwambia choo kimejaa kwaiyo atafute utaratibu mwingine..saa naongea huku nafunga mlango hata na kamba!
 
Hahahaah snowhite, naomba chenchi aiseeee.....

chenji wapi bana!unafkiri stori jamaa alikuwa kila akiflash haiendi af yupo ukweni ndo mata ya kwanza akapiga mahesabu akaona isiwe shida!KWANI SI KARIBU MUDA WAKUONDOKA UNAFIKA!akaitia mfukoni huyooooooooooo!ikasave aibu!alikuja kutusimulia after three years,kil
 
Sidhani it has anything to do with the color of your skin. Kuna mizungu mingine michafu kweli, kinyaa kabisa. Mie nadhani ni umasikini zaidi na mafunzo. Kwa sababu haya matatizo mi nakutana nayo zaidi nikienda sehemu za watu wa hali ya chini. Lakini watu wenye hela zao kiasi wastaarabu, ingawa si wote. sema ni kinyaa, yaani sijui ni-nini! ahhhh!
 
Back
Top Bottom