Generalkaduma
Member
- Apr 29, 2011
- 20
- 5
Watanzania tupo? Tujifunze kutokana na shida tunazozipata, serikali inatufanyia nini? Tupo wapi kutokana na ilani ya chama tawala.
Naamini ilani ya chama imetokana na wanachama husika na basi kama ndo hivyo na ndo iliyotufikisha hapa kwenye hali mbaya ya kiuchumi basi si chama husika maana ndo serikali husika inayoratibu.
Nakumbuka msemo wa ilani ya maisha bola zaidi, najiuliza ndo haya au?
Kazi ipo watanzania.
Naamini ilani ya chama imetokana na wanachama husika na basi kama ndo hivyo na ndo iliyotufikisha hapa kwenye hali mbaya ya kiuchumi basi si chama husika maana ndo serikali husika inayoratibu.
Nakumbuka msemo wa ilani ya maisha bola zaidi, najiuliza ndo haya au?
Kazi ipo watanzania.